Nimefika salama Johannesburg

Nimefika salama Johannesburg

Mungu Ni Mwema Wakati Wote


Mbona Umeacha Viwanda Home Tele
Umeme Kukatika Itakuwa History By Merdad Kalemani

Maendeleo Hayana Chama ,
Mtafute Member Shibe Kijijini
Unganeni Sasa Lakini
Mmeondoka Haraka Tanzania
Nchi Ya Asali Na Maziwa


Budget Ndiyo Inapitishwa Pesa Zitaingia Mtaani
Unanikumbusha wakati ule prof muhongo anahamasisha gas ya mtwara
 
Watanzania tuacheni maisha ya uoga WA kuadithiana kupeana vitisho Mimi nimetoka Mungu ndio tumaini langu kubwa, wewe Kama ulikuja south kuuza ngada ni haki yako kupata msoto lakini Mimi nimekuja kiharali nitafanikiwa tu
Umeandika vyema Mkuu,huyo unayemtumainia ndiye mimi namtumainia pia,hashindwi,hajawai kushindwa,atakuongoza,utafanikiwa na umeshafanikiwa amin hilo,karibuni na mimi nitaondoka pia,japo wanaonikatisha tamaa ni wengi ila napata ujasiri nikutanapo na watu wenye uthubutu kama ninyi,kwakuwa nilizaliwa mwanaume Somalia nitaenda,Syria nitaenda,Palestine nitaenda nitakuwa nawauzia wapambanaji wenzangu maji ya kunywa hapo Gaza,nimedhamiria kushinda nitashinda,never give up your going to win too,you are hero!!.
 
kimsingi maisha yanatafutwa popote aijalishi kuna vita au laa. jamaa amethubutu haina haja ya kumkatisha tamaa cha msingi fanya kile ulichokusudia na mungu atakubariki utafanikiwa vizuri kabisa. ila jiepushe na makundi mabaya kwan yanaweza kukuaribia we fata taratibu xa nchi ya watu, umetoa namba yako ila kuwa makini sana na watanzania kwan wanaweza kukuuza. zaidi ya yote nakutakiamafanikio mema na ukumbuke kutupa fulsa zilizokuwa huko
 
kimsingi maisha yanatafutwa popote aijalishi kuna vita au laa. jamaa amethubutu haina haja ya kumkatisha tamaa cha msingi fanya kile ulichokusudia na mungu atakubariki utafanikiwa vizuri kabisa. ila jiepushe na makundi mabaya kwan yanaweza kukuaribia we fata taratibu xa nchi ya watu, umetoa namba yako ila kuwa makini sana na watanzania kwan wanaweza kukuuza. zaidi ya yote nakutakiamafanikio mema na ukumbuke kutupa fulsa zilizokuwa huko
Amina mkuu barikiwa
 
Kajifunze masuala ya security tafuta kibali cha Psira then omba Kazi ukipata sehemu nzuri unaanzia hata milion 2 kwa mwezi...Nyumba, usafiri na matibabu juu yao.

Security ndio industry inayoboom kuliko zote South afrika kwa sasa.

Kila la kheri kamanda Mawazo.
walinzi wana pata tabu ya kupambana na wala ngada na vibaka... wa polokwane soweto nk
 
Tukutane Golden Valley tugonge vyuku...... Chillas kuna wanawake wa Buku.. Ama Bijampora
Umenikumbusha mbali sana mkubwa!! Kuna siku nikiwa nageuza Dar then niunge South nililala City lodge ili niwe karibu na stand, mhuni mmoja kaniambia twende Chilla sasa nafika pale sijakaa vzr akajipendekeza mtot..........
 
mgeni huyo ana hitaji mapokezi na msaada... sasa ndugu zake wapo huko... wamsaidie angalau kwa kuanzia siku hizi za mwanzoni mwanzoni... hajaenda kukaba wala kuua... ameenda kutafuta maisha bora... ambayo hapa angechelewa...

amefika ameshangaa maghorofa na unadhifu wa nchi ya watu... akifika ktk CBD si atasau kuwa yeye ni mtanzania... hivyo ana hitaji msaada wa kuelekezwa hapa na pale na hatimae apate kazi ya kufanya ya halali bosi...

kama atahitaji forex atafundishwa pia
 
Mtafute Ontario nae yupo huko wanasema... ata kusaidia... ana roho nzuri sana...

NB:
Usisikilize ya watu sana, ya kuambiwa changanya na zako
Ontario atampasua huyu kamanda vibaya. Ontario ana undugu na hela tu wala sio mtu. Mdamganyeni.

Unajua the strongest man is the one who fight alone. Fight alone mkuu..umeenda alone South, kufa kiume alone..South usiweke uswahili utachakatwa na waswahili wenzio.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom