Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,855
Usilete ujuaj nchi za watu utarud huna marinda
Viwanda hivi vya kuwalipa watu 5700-6000 na kwa mwezi waliojariwa wanalipwa 200,000. Hivyo viwanda ni kwaajili ya kuwanyonya watu na kuwafanya masikini miaka yote na ww unafurahia. Viwanda vya Tanzania ni janga (umasikini). Kwa nyakati hizi unalimpa mtu 5700 unategemea ataishije? Kabla ya kushobokea viwanda muwe mnaliuza kwanza malipo.Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Mbona Umeacha Viwanda Home Tele
Umeme Kukatika Itakuwa History By Merdad Kalemani
Maendeleo Hayana Chama ,
Mtafute Member Shibe Kijijini
Unganeni Sasa Lakini
Mmeondoka Haraka Tanzania
Nchi Ya Asali Na Maziwa
Budget Ndiyo Inapitishwa Pesa Zitaingia Mtaani
Mkuu sayona day 3800 karibun........Viwanda hivi vya kuwalipa watu 5700-6000 na kwa mwezi waliojariwa wanalipwa 200,000. Hivyo viwanda ni kwaajili ya kuwanyonya watu na kuwafanya masikini miaka yote na ww unafurahia. Viwanda vya Tanzania ni janga (umasikini). Kwa nyakati hizi unalimpa mtu 5700 unategemea ataishije? Kabla ya kushobokea viwanda muwe mnaliuza kwanza malipo.
Hivyo viwanda vyako sitaki hata kuvisikia sbb ni sehemu ya utumwa.
Mkuu sayona day 3800 karibun........Viwanda hivi vya kuwalipa watu 5700-6000 na kwa mwezi waliojariwa wanalipwa 200,000. Hivyo viwanda ni kwaajili ya kuwanyonya watu na kuwafanya masikini miaka yote na ww unafurahia. Viwanda vya Tanzania ni janga (umasikini). Kwa nyakati hizi unalimpa mtu 5700 unategemea ataishije? Kabla ya kushobokea viwanda muwe mnaliuza kwanza malipo.
Hivyo viwanda vyako sitaki hata kuvisikia sbb ni sehemu ya utumwa.
Unamaanisha?[HASHTAG]#zilipendwa[/HASHTAG]
Mh! AiseeeeeMkuu sayona day 3800 karibun........
raha kivipi wakati bado huna uhakika wa kesho yako Mzee babaKiukweli huku nilipokuja ni nchi nzuri sioni haja ya kwenda ulaya, south ni pazuri Sana asikwambie mtu ,japo sijaikamata hata rand yao Kama kipato lakini nitakapoanza kuikamata bongo nitaludi kivingne, Wakuu bado nafatilia mipango taratibuu sina haraka, WAKUU ACHENI UOGA SOUTH NI PAZURI TENA RAHA UKIJA KAMA NILIVOKUJA MIMI KWA KUTEGEMEA KUFANYA KAZI YOYOTE ILIYO HARALI, HUO NDIO MLEJESHO WAKUU

nakujaWakuu hapa hakuna kushangaa kiukweli south Africa ni nchi nzuri Sana sijawai kuona majengo mazuri na maandhali mazuli Kama jorburg, nipo naelekea Brooklyn milnerton Capetown, jamani huku ni pazuri balaaaa
mpe ukweliHuo ni uoga wa hali ya juu wa kuthubutu,Maisha hayana formula,Kule Syria kuna vita lakini wapo waTZ wanapiga maisha kinoma sasa sembuse hapo South Africa.Kabla ya kutoa maneno ya kuvunja moyo na kumpangia mipango yako jifunze kuheshimu fikra na mipango ya wengine.Yamkini wewe mwenyewe hujawahi kufika huko,unasikia redioni tu,Hata kama ulifika ulifika na waoga wezako tu wasio na uthububuti Hivi kama kina Speke,Vasco da Gama,Rebman ,kina Livingstone na wengine wengi wangekuwa waoga kama wewe unadhani historia ingesomekaje ?.Kijana amejitoa mhanga hilo unalomwambia alilijua hata kabla ya kuondoka.Hizo akili za kuambiwa muwe mnachanganya na za wenzenu basi kama zako hazitoshi.......
[