Nimefika salama Johannesburg

Nimefika salama Johannesburg

Tusalimie huko Jo'Burg. Nadhani sasa mambo safi kwa Watanzania. Malema alihutubia majuzi ( mtakumbuka wote) kwamba wanapaswa kumwenzi Mwalimu na Watanzania kwa kazi yao katika utaifa wa Afrika Kusini.
 
Kajifunze masuala ya security tafuta kibali cha Psira then omba Kazi ukipata sehemu nzuri unaanzia hata milion 2 kwa mwezi...Nyumba, usafiri na matibabu juu yao.

Security ndio industry inayoboom kuliko zote South afrika kwa sasa.

Kila la kheri kamanda Mawazo.
 
Mcheck huyu mtasha nae ni mlinzi yuko hapo Johannesburg..123 schooner avenue, laser park.

Muulize akupe mitkasi inavyokwenda ya ulinzi hapo jozi..kila MTU na bahati yake anaweza kukupa great guidance ukapata kazi mapema.

Komaa mzawa, usikubali kinyonge..afe kipa afe beki, ije mvua lije jua. Lazma kieleweke.

Asipokuelewa nakutumia namba ya Julius Malema kabisa. Relax!!! Nipo ngosha mwenye maujanja.

Don't worry.. You will thank me later.

Hardcore.
Screenshot_2018-06-04-22-52-14.jpg
 
Kajifunze masuala ya security tafuta kibali cha Psira then omba Kazi ukipata sehemu nzuri unaanzia hata milion 2 kwa mwezi...Nyumba, usafiri na matibabu juu yao.

Security ndio industry inayoboom kuliko zote South afrika kwa sasa.

Kila la kheri kamanda Mawazo.
Naskia kupata psira lazima uwe msauzi kweli?
 
Kesho silali hapa naondoka nakwenda pembeni mwa jiji, nimefikia hapa kutokana na ugeni pia kutokua na mwenyeji
Kama uko Pretoria na unataka uwe nje kidogo ya mji jaribu kusearch hotel inaitwa Mopani. Ni nje kidogo ya Pretoria but daladala zinafika na gharama ni nafuu sana hapo.

Utaenjoy sana hapo maana hapana vurugu.

Huwa nikija huko nafikia hapo
 
Tukutane Golden Valley tugonge vyuku...... Chillas kuna wanawake wa Buku.. Ama Bijampora
Tukutane Chillaz hapo, kuna mtaa upo nyuma ya marie stopes dispensary mtaa ya majengo ni hatariiii
 
Kazi ya kufanya huko anza na kutembeza Apple, huku Bongo si umeona soo...!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom