Wgr30
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 1,770
- 2,388
Malunga napo pameshakuwa na madada poa mkuu?Ndio... Mtaa wa Malunga kuna dada poa hadi wa Jero
Malunga napo pameshakuwa na madada poa mkuu?Ndio... Mtaa wa Malunga kuna dada poa hadi wa Jero
Vipi mr Kwanza hongera kwa kufanikiwa. Kujilipua nje ya bongo ila ombi langu Ni hivi vipi ulitumia njia zipi kupata passport kwa wakati bila usumbufu maana mi nin malengo ya kwenda botswanaitafahamika tu