Nimefall kwa mwanadada maarufu wa jf

Nimefall kwa mwanadada maarufu wa jf

Wengi wanasema mapenzi no upofu hakika nimeamini hizi kauli za wahenga wetu...
Huyu dada nimempenda sana,wengi wanamponda wanaomjua wanamsifia sana.
Huyu dada ana elimu nzuri ya chuo na ya mtaani pia..anaweza ishi maisha yote ya starehe na ya hustle, hakika muuumba kampendela mrembo wetu huyu wa jf.

Sijui umenipa nini mdada nakupenda sana huwa nikisoma maandishi yako unasema utampenda yoyote moyo wako ukimpenda na mimi nitajitahidi kwa kila njia moyo wako unipende,

Nikimaliza hili jibapa nitakutaja hapa,siwezi kuzizuia hisia zangu tena
Ukisha mtaja naomba usisahau kunitag
 
Baby umekujaa??

Uzi ujao namtajaaa,kama ni wewe basi mipango itaanza mapema tu
JJ hayupo unatamba tuu.
Kwa kuwa nimetajwa fanya kuanza kulipa mahari basi.
Ila unachokuywa leo sijui wamekijaza nini
 
Jamani wanaume wa Jf tuowane wenyewe kwa wenyewe msioe hao wa nje tupendane sisi kwa sisi na mm nikihitaji mme nakuja hapahapa sahv badobado
Siku ukikuwa tayari naomba usiache kunitag
 
Back
Top Bottom