dong yi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 5,956
- 8,344
kwa hio avatar yako utapata.........Jamani wanaume wa Jf tuowane wenyewe kwa wenyewe msioe hao wa nje tupendane sisi kwa sisi na mm nikihitaji mme nakuja hapahapa sahv badobado
kwa hio avatar yako utapata.........Jamani wanaume wa Jf tuowane wenyewe kwa wenyewe msioe hao wa nje tupendane sisi kwa sisi na mm nikihitaji mme nakuja hapahapa sahv badobado
mkuu wewe kweli una low thinking capacity!!!!!!Kupenda taabu tupu shida ya kupata vidonda vya tumbo na presha bure
Ina kasoro ganikwa hio avatar yako utapata.........
acha bwana,,,,Kuna mdada wa jf humu akikubali tu nampa zawadi ya shamba eka 20 huko uzaramoni

Jamani !!!Hata hanipi anasema hana anatafuta bado
mkuu, kuna wadada humu ni wabaya ukimwona utakula kona!Hata wakivua masks zao bado tunawapenda. Kama uamini muulize agata edward
Apia?mkuu, kuna wadada humu ni wabaya ukimwona utakula kona!
Jamani !!!
Hata hanipi anasema hana anatafuta bado
Na kweli anakupa au maneno?
Mimi nikimuambia hela ya kitimoto hanipi, akikupa tugawane best.
Ila we jamaa kila nkikuona namkumbuka jolie jolie, na dp yake ya picha zenu huwa nacheka sana.Upinzani ni mkubwaa sana
Haha kwani nimeshamtaja??Ila we jamaa kila nkikuona namkumbuka jolie jolie, na dp yake ya picha zenu huwa nacheka sana.
Kwa @mziguag90 tafuta pesa kumaintain zigo hilo si mchezo na huo ubahili wako.
Upinzani ni mkubwaa sana




. Sema nini. Mwenye kisu kikali atakula nyamaMwambie mwambieIla we jamaa kila nkikuona namkumbuka jolie jolie, na dp yake ya picha zenu huwa nacheka sana.
Kwa @mziguag90 tafuta pesa kumaintain zigo hilo si mchezo na huo ubahili wako.
Bebe karibuu leo nataka nivunje record ya kunywa bia aina kumi kwa siku moja hahaha. Sema nini. Mwenye kisu kikali atakula nyama
Ukizima shauri yako. Ile promo imerudi tena na hela nshainywa jana.Bebe karibuu leo nataka nivunje record ya kunywa bia aina kumi kwa siku moja hahaha




.Hahah pambana na hali yako leo..lakin najua hukosi,,wew ulileft kule,jana kumempita mgao wa 50 50 hahahaUkizima shauri yako. Ile promo imerudi tena na hela nshainywa jana..