Nimefall kwa mwanadada maarufu wa jf

Nimefall kwa mwanadada maarufu wa jf

Mzigua huyo
Mungu wangu. Yna2 huwezi amini nilikuwa nakufikiria.

Siku ile nilikuomba angalau nipate ukamili wa avatar yako lakini maombi hayakuzaa matunda. Sijui nilikukwaza? Kama nilikukwaza samahani.

Vipi lakini, upo salama?
 
Umenishtuaaa

Hapana hukunikwaza

Nashukuru Mungu kila kitu kipo sawa..sijui upande wako
Mungu wangu. Yna2 huwezi amini nilikuwa nakufikiria.

Siku ile nilikuomba angalau nipate ukamili wa avatar yako lakini maombi hayakuzaa matunda. Sijui nilikukwaza? Kama nilikukwaza samahani.

Vipi lakini, upo salama?
 
Umenishtuaaa

Hapana hukunikwaza

Nashukuru Mungu kila kitu kipo sawa..sijui upande wako
Usalama ukiwa kwako na kwangu upo vilevile. Ila kuna kitu kimoja naomba unisaidie.

Najua kwamba macho yangu hayakuoni na roho yangu haikugusi huko ulipo. Lakini tatizo lipo kwenye moyo, naomba unisaidie katika hili.
 
[emoji23][emoji23]

Vannyboy unamatatizo sana
Kila mtu anakupendaa nawaona wanavyokuandama nami pia nakupenda ila nimeona nisiongeze msululu wa wanaokufuata pm, wakisha maliza kukupenda ndio nami nitakuja.. maana utadhani JF hakuna warembo wengine
 
Nikusaidie nini tena mkuu? Niambie kama lipo ndani ya uwezo nitakusaidia
Usalama ukiwa kwako na kwangu upo vilevile. Ila kuna kitu kimoja naomba unisaidie.

Najua kwamba macho yangu hayakuoni na roho yangu haikugusi huko ulipo. Lakini tatizo lipo kwenye moyo, naomba unisaidie katika hili.
 
Kila mtu anakupendaa nawaona wanavyokuandama nami pia nakupenda ila nimeona nisiongeze msululu wa wanaokufuata pm, wakisha maliza kukupenda ndio nami nitakuja.. maana utadhani JF hakuna warembo wengine
[emoji23][emoji23]

Umejua nichekesha usiku huu
 
Back
Top Bottom