Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,391
- 88,767
Hivi kwanini mnitaje Mimi?
Hivi kwanini mnitaje Mimi?
Mimi bado naangalia nafasi.Ooooh!!
Ukipanda panda huko juu utatukuta sisi,
Mi huko nimetoka juzi, nafikiria kusamehe hii sikukuu.
Kwa sababu tunataka upelekwe kibosho ukanywe mbege na kichori!Hivi kwanini mnitaje Mimi?



PoaaaaRafiki mambo?![]()
Rafiki nina mazungumzo spesheli na wewe kwa sababu siyo kwa chura hilo!Poaaaa



.....Kama ni avatar nipo tayari kubadilisha kwa kweli!!
Rafiki penzi ni kikohozi huwa halifichiki!Hivi kwanini mnitaje Mimi?



Shida yako churaaaaaa???Rafiki nina mazungumzo spesheli na wewe kwa sababu siyo kwa chura hilo!.....Kama ni avatar nipo tayari kubadilisha kwa kweli!!View attachment 966212
Rafiki kwenye hii dunia hakuna kama chura,mtu asikudanganye!Shida yako churaaaaaa???



.....mhhhhRafiki kwenye hii dunia hakuna kama chura,mtu asikudanganye!![]()
Rafiki hilo zigo usimpe mtu ambae hajui thamani yake mwaya!.....mhhhh
Ila mzigua tukiacha utani wa jf. Mimi na declare interest hapa hapa mwenye mali anisamehe. Yaani nimetokea kukupenda ki ukweli kabisaaa nje ya jf.
Love u mnooooo😀😀wewe
Mwenye mali ameshakusamehe.Ila mzigua tukiacha utani wa jf. Mimi na declare interest hapa hapa mwenye mali anisamehe. Yaani nimetokea kukupenda ki ukweli kabisaaa nje ya jf.
Mwambie atoe permit nipate kukuona in personMwenye mali ameshakusamehe.
Teeeeeh, wajina umenichekesha sana mkuu. Amebadili ID halafu hataki uijue? Nakitajia ID mpya ili roho yako ifurahiAmebadilisha ID yake very painful na Hataki nijue.... I love her though!!




Hahahaah utakua Umefanya jambo la maana Sana Sana! Hebu fanya mpango fasterTeeeeeh, wajina umenichekesha sana mkuu. Amebadili ID halafu hataki uijue? Nakitajia ID mpya ili roho yako ifurahi![]()
Wewe ulibaki na mpira ukashanga shangaa kupigwa chenga ya tobo ni haki yako mkuu!Mwambie atoe permit nipate kukuona in person


