Mbona unakua mwongo sana? Ni chuo gani wanafanya mtihani mda huu?Nimepata bahati mbaya Kwenye UE nimedakwa na kibomu na kuitwa offic. Nimedisko nipeni ushauri.. Usitukane.. Ni bahati mbaya. Asante
SI UTANI JF NI KIBOKO!!!!IKO SIKU JAMBAZI ATAKUJA HAPA KUTUOMBA USHAURI WA NAMNA YA KUTUUA VIZURI NA KUTUIBIA!!!Nimepata bahati mbaya Kwenye UE nimedakwa na kibomu na kuitwa offic. Nimedisko nipeni ushauri.. Usitukane.. Ni bahati mbaya. Asante
[emoji23][emoji23][emoji23] kuna module itabidi uiongeze kwa ajili ya wanafunzi wa engineering ya jinsi ya kuandika majibu kweny calculator ambayo ata msimamizi akiiangalia calculator haoni kitumkuu ungeomba ushauri wa kupiga chabo na kuingia na nondo kwenye pepa haya yasinge kukuta.....mm katika hayo maswala nina phd na soon natoa kitabu cha jinsi ya kupiga chabo bila kukamatwa.....
na nina rekodi za kutosha za kupiga chabo katika vyumba vya mitihani vilivyoshindikana na wasimamizi wanaaa africa mashariki na kati...
ili hayo yasikukute tena ni pm upewe mbinu adimu zilizomkalisha chini prof mnaa tz nzima
We muongo huwez kudosco kirahis hivyo serikali ya chuo inafanyeje isikusaidie kukuteteaNimepata bahati mbaya Kwenye UE nimedakwa na kibomu na kuitwa offic. Nimedisko nipeni ushauri.. Usitukane.. Ni bahati mbaya. Asante
hahahhaahaa[emoji28] [emoji28] eti mpiga chabo mzuripole sana ni hali ya kawaida usijute maana uliyataka mwenyw ulishindwa kupig chabo mpk uingie na kibuti
umeniuuzi kama nini maana me ni mpiga chabo mzuri il kamwe siingii na kibuti katk paper
so....hakunaa namna apo ni kuomba tena mwakani