SamuraiJack
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 300
- 349
Ndugu zangu, naomba ushauri wenu.
Mdogo wangu aliitwa kwenye usaili wa maandishi (written interview) wa nafasi ya Registration Officer II – NIDA, na nikaja humu kuomba tips za maswali na kwa bahati nzuri amefaulu na kuitwa kwenye usaili wa mahojiano (oral interview).
Naomba kwa yeyote ambaye amewahi kushiriki usaili huu au ana uzoefu na mchakato wa ajira wa NIDA, atupe mwanga kuhusu aina ya maswali yanayoulizwa kwenye oral interview na maeneo muhimu ambayo anatakiwa kujiandaa nayo ili afanye vizuri.
Lengo ni kumsaidia kujiandaa kwa kiwango kizuri zaidi ili awe na nafasi nzuri ya kufaulu.
Asanteni sana kwa msaada na ushauri wenu. Wisle Mad Max Seran
Mdogo wangu aliitwa kwenye usaili wa maandishi (written interview) wa nafasi ya Registration Officer II – NIDA, na nikaja humu kuomba tips za maswali na kwa bahati nzuri amefaulu na kuitwa kwenye usaili wa mahojiano (oral interview).
Naomba kwa yeyote ambaye amewahi kushiriki usaili huu au ana uzoefu na mchakato wa ajira wa NIDA, atupe mwanga kuhusu aina ya maswali yanayoulizwa kwenye oral interview na maeneo muhimu ambayo anatakiwa kujiandaa nayo ili afanye vizuri.
Lengo ni kumsaidia kujiandaa kwa kiwango kizuri zaidi ili awe na nafasi nzuri ya kufaulu.
Asanteni sana kwa msaada na ushauri wenu. Wisle Mad Max Seran