Nimedisko kisa kibomu (kibuti) . Nifanyaje?

Nimedisko kisa kibomu (kibuti) . Nifanyaje?

Another bashite, inabidi tukuunganishe kwenye kesi ya mr bashite hakuna namna.
 
pole saaana maana we ni mwenzangu kwenye haya mambo iyo bahati mbaya naielewa vibaya mno unajua elimu yetu ni vita Mwl anataka akushinde na wewe unataka umshinde. Bahati mbaya mgombea mwenza amekamatwa halaf uwe mwepesi kupoteza ushahidi siku ingine...Omba kwingine tu kuanza upya sio ujinga
they used to say Cheaters never succeed but i graduate..
Hahahahha aiseee we si wa mchezo mkuu
 
Kudisco sababu ya kibomu ni uzembe mkubwa sana,kamq mwanangu nakupa shamba na jembe la mkono ulime miaka mi tatu mfululizo,ukifanikiwa utarudi chuo
 
Siyo mwisho wa maisha, Kuna watu wanadisco chuo kimoja wa naenda kingine wanatoboa. Pole sana best disco inavunja moyo sana,
 
Mungu amenusuru watu wengi kwa kukamatwa kwako! Ungendelea na mchezo hadi kuhitimu ungeleta maafa makubwa, kwa mfano kama unasomea kurusha ndege, u daktari na mengineyo ungeleta hasara bora wamekutoa mapema!
 
Huyu nahis ni mojawapo au ana vinasaba vya wale waliofukuzwa UDOM,haiji akilini mtu timamu uingie na kibomu.pole lakin.
 
Haaa haa haa upo vizuri mkuu, ila achana na masuala ya PM, ww mwaga mzigo hapa
mkuu ungeomba ushauri wa kupiga chabo na kuingia na nondo kwenye pepa haya yasinge kukuta.....mm katika hayo maswala nina phd na soon natoa kitabu cha jinsi ya kupiga chabo bila kukamatwa.....

na nina rekodi za kutosha za kupiga chabo katika vyumba vya mitihani vilivyoshindikana na wasimamizi wanaaa africa mashariki na kati...

ili hayo yasikukute tena ni pm upewe mbinu adimu zilizomkalisha chini prof mnaa tz nzima
 
Back
Top Bottom