Nimedisko kisa kibomu (kibuti) . Nifanyaje?

Nimedisko kisa kibomu (kibuti) . Nifanyaje?

Ajali kazini... Kuteleza siyo kuanguka... Jiokote endelea na safari...
 
Me nasikitikia tu hyo ada yako
 
Bodi wanahitaji hela yao kabla hujaomba chuo kingine
 
Nimepata bahati mbaya Kwenye UE nimedakwa na kibomu na kuitwa offic. Nimedisko nipeni ushauri.. Usitukane.. Ni bahati mbaya. Asante

Umeshasema kisa Kibuti..hiyo ni cheating na adhabu yake ni hiyo.Ni heri kupiga chabo na kuzungusha jicho kama kinyonga lakini sio kuingia na ushahidi kabisa..yaani hiyo ni haki yako asee...by the way maisha siyo kusoma tuu..so tuliza kichwa ufanye mambo mengine.Pole.
 
kitu kikishakua bahati itakuaje mbaya, huo ni mkosi, kaoge
 
kama cheti cha advance ni kizuri subiri nafasi za jkt
 
Umeshasema kisa Kibuti..hiyo ni cheating na adhabu yake ni hiyo.Ni heri kupiga chabo na kuzungusha jicho kama kinyonga lakini sio kuingia na ushahidi kabisa..yaani hiyo ni haki yako asee...by the way maisha siyo kusoma tuu..so tuliza kichwa ufanye mambo mengine.Pole.
Asante
 
pole saaana maana we ni mwenzangu kwenye haya mambo iyo bahati mbaya naielewa vibaya mno unajua elimu yetu ni vita Mwl anataka akushinde na wewe unataka umshinde. Bahati mbaya mgombea mwenza amekamatwa halaf uwe mwepesi kupoteza ushahidi siku ingine...Omba kwingine tu kuanza upya sio ujinga
they used to say Cheaters never succeed but i graduate..
 
Back
Top Bottom