Nimedisko kisa kibomu (kibuti) . Nifanyaje?

Nimedisko kisa kibomu (kibuti) . Nifanyaje?

Kuna rafiki yangu mmoja alisoma PCB alipata nafasi SUA, alikua na akili wala si za kubabaisha, baada ya mwaka mmoja SUA alirudi flat, kwa kweli tulisikitika sana lakini alitumia cheti chake cha six kuomba UDSM alipata na maisha yakaendelea.
Sua hapaitaji mchezo kwa kweli unaeza kua kichwa sana na ukabahatika kumaliza na ki gpa cha 3.5 na unashukuru Mungu sanaaaaaaah
 
Unaingiaje na kibomu kizembe mpaka unakamatwa?
 
Mara ya pili tumia reso, unapenga kamasi huku unafungua unaangalia majibu yako, msimamizi awezi kugusa!
Now fanya application tu!
 
Kwa ujinga uliofanya natamani udisco mpaka maisha....yani uchapike mpaka ukome.
 
Back
Top Bottom