Mteja na Waranti

Mteja na Waranti

sukariyawarembo

Senior Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
169
Reaction score
119
Za mda huu wakuu.
Nimepata changamoto hapa kazini kuna duka tunauza magodoro na mimi nimekuja hapa sio mda mrefu mana ni la familia,sasa changamoto ni kuhusu wateja kununua godoro baada ya muda wanakuja wanasema wanataka kurudisha eti kisa linabonyea sana katikati,sasa nachotaka kujua na mnishauri namna ya kukabiliana nao mana ni hasara kurudishiwa kitu kishatumika,,nifanyaje ili wasiweze kurudisha yaani kuna sheria gani mi inayonirinda au ya kujihami?.
Kingine nataka kujua mipaka ya waranti inayoandikwa kwenye magodoro je inatuhusu sisi wauzaji au wenye viwanda?.
Nawasilisha,kama hamjanielewa ruksa kuuliza
 
Huu uzi bora ningepeleka jukwaa la mahusiano na mapenzi huko na kuna watu wengi wanaview.huku amna kitu
 
Za mda huu wakuu.
Nimepata changamoto hapa kazini kuna duka tunauza magodoro na mimi nimekuja hapa sio mda mrefu mana ni la familia,sasa changamoto ni kuhusu wateja kununua godoro baada ya muda wanakuja wanasema wanataka kurudisha eti kisa linabonyea sana katikati,sasa nachotaka kujua na mnishauri namna ya kukabiliana nao mana ni hasara kurudishiwa kitu kishatumika,,nifanyaje ili wasiweze kurudisha yaani kuna sheria gani mi inayonirinda au ya kujihami?.
Kingine nataka kujua mipaka ya waranti inayoandikwa kwenye magodoro je inatuhusu sisi wauzaji au wenye viwanda?.
Nawasilisha,kama hamjanielewa ruksa kuuliza
Warranty anasolve supplier
 
Ngoja nikusaidie kidg kwasababu nimewahi kufanya kazi kiwanda cha magodoro...

Kiwandan yanatengenezwa magodoro aina nyingi na kila aina ina warranty yake,kuna mwaka mmoja kuna ya miaka minne mpk 12..kampuni mara nyingi hutangaza chapa moja tu ambayo inabeba brand ya kampuni hyo pekee ndo hukupa warranty ya uhakika na unaruhusiwa kurudisha kiwandani kama limebonyea..haya mengne ya kiwango cha chini unawaeleza wateja kuwa amepata kulingana na kiasi cha pesa aliyotoa
 
Back
Top Bottom