Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Nimepata bahati mbaya Kwenye UE nimedakwa na kibomu na kuitwa offic. Nimedisko nipeni ushauri.. Usitukane.. Ni bahati mbaya. Asante
Ukome hamna namna endelea tu kucheza hilo disco vumbi.Nimepata bahati mbaya Kwenye UE nimedakwa na kibomu na kuitwa offic. Nimedisko nipeni ushauri.. Usitukane.. Ni bahati mbaya. Asante
Mkuu bahati mbaya tuKwanini unaigilizia mkuu? Nilikuwa nakuheshimu saana
Basi bahati mbaya pia kudiscoMkuu bahati mbaya tu
Pole sanaNimepata bahati mbaya Kwenye UE nimedakwa na kibomu na kuitwa offic. Nimedisko nipeni ushauri.. Usitukane.. Ni bahati mbaya. Asante
Acha povu nishauriMkuu hukuomba ushauri wa kutumia kibomu hapa kwanini unatuletea kesi?
pole sana ni hali ya kawaida usijute maana uliyataka mwenyw ulishindwa kupig chabo mpk uingie na kibutiNimepata bahati mbaya Kwenye UE nimedakwa na kibomu na kuitwa offic. Nimedisko nipeni ushauri.. Usitukane.. Ni bahati mbaya. Asante
AsanteTafuta chuo kingine jipange upya.
We Acha tupole sana ni hali ya kawaida usijute maana uliyataka mwenyw ulishindwa kupig chabo mpk uingie na kibuti
umeniuuzi kama nini maana me ni mpiga chabo mzuri il kamwe siingii na kibuti katk paper
so....hakunaa namna apo ni kuomba tena mwakani
SawaUtaelewa NAMBA inasomwaje
Najaribu kuielewa hali ulonayo kwa sasa,kwanza kadhia ya kukamatwa na kombora hilo mbele ya wanafunzi wenzio na pili kudisco ila wacha nkwambie kitu mshikaji wangu huo sio mwisho wa maisha na maisha hayajawahi kwenda straight na hayatokaa yaende straight,unaanguka mara saba unanyanyuka mara nane.Nimepata bahati mbaya Kwenye UE nimedakwa na kibomu na kuitwa offic. Nimedisko nipeni ushauri.. Usitukane.. Ni bahati mbaya. Asante