Nimechukia sana Simu za Samsung, bora TECNO tu

Nimechukia sana Simu za Samsung, bora TECNO tu

Mwaka jana mwezi wa 9 nilinunua simu ya samsung S9+, niliachana na matumizi ya Tecno na Infinix. Baada ya muda kwa bahati mbaya simu ilianguka, na kupasuka kioo.

Ilianza kunisumbua sana, hatimaye ikazima moja kwa moja. Inaonekana hata kioo chake hakiko imara.

Shida nilipokwenda kubadili kioo, Mungu wangu sikuamini , nilijua mafundi wanataka kunipiga, nimezunguka wee mpaka nikachoka, lakini bei ni ileile.

Mwisho nilipata mahali laki tatu na nusu, fundi 20 jumla 370,000/= . kwa usawa huu jamani mi naitoa wapi? Nimeichukia sana, sina hamu nayo tena. Kama ningejua mapema nisingenunua bora ningeendelea tu na hii mitecno yetu
Tekino ungepata kwa 40 tuu[emoji16][emoji16]
 
Mwaka jana mwezi wa 9 nilinunua simu ya samsung S9+, niliachana na matumizi ya Tecno na Infinix. Baada ya muda kwa bahati mbaya simu ilianguka, na kupasuka kioo.

Ilianza kunisumbua sana, hatimaye ikazima moja kwa moja. Inaonekana hata kioo chake hakiko imara.

Shida nilipokwenda kubadili kioo, Mungu wangu sikuamini , nilijua mafundi wanataka kunipiga, nimezunguka wee mpaka nikachoka, lakini bei ni ileile.

Mwisho nilipata mahali laki tatu na nusu, fundi 20 jumla 370,000/= . kwa usawa huu jamani mi naitoa wapi? Nimeichukia sana, sina hamu nayo tena. Kama ningejua mapema nisingenunua bora ningeendelea tu na hii mitecno yetu

Tatizo si kuichukia tu! Samsung simu zao huwa zina expire inaweza kuzima galfa moja kwa moja
 
Kiukweli mi nimegawa note 8 kwa mdogo wangu.ni nzuri hasa yaani double line,gb 128 na ram 6 finger print ipo pazuri sana na si ya kujionyesha kama hapa ndipo pa kuweka kidole.
ina iris scanner ,face lock na kadhalika.
camera brue yake ilikuwa ya ukweli.
pamoja na yote mazuri kioo kilipovunjika niliambiwa 700k.
Nikaiweka baadae yamenijia mawazo kuwa maisha yangu yoote ya simu kwa miaka hii 5 ya kazi sijawahi tumia simu zilizopita mikononi mwa mafundi.basi nikanunua j4+ .
mwaka huu hali imekuwa ngumu na j4+ imenizingua nimenunua infinix note 7.
Shida kubwa kamera sio sawa,front sio sawa,ila chaja ipo sana wala siwazi. kwani display Ake haili umeme mwingi ila faida yangu ni speaker ni boomsound kama zama zile za sony na htc.na sasa muda wote simu ipo mfuko wa shati na kuongea kwa speaker kama redio call na tunasikilizana vizuri sana kama zama zilebza 2017 za note 8.
 
Unachikiona Samsung hakioni kwenye Vivo?
Unachikiona Samsung hakioni kwenye infinix?
Kweli kila muwambaji ngozi huvutia kwake. Nitajie kinachofanyika Samsung ambacho ni tofauti kabisa na kwengineko.
clipboard,samsung unaweza weka hata 10 na zikadumu hata mwezi bila kufutika.hizo simu haziwezi.
 
Kwasisi walevi hazitufai kabisa nilikua na A50 haikukaa week 2 kioo kikaenda kwao...ikabidi nikate glass nakuweka nyingine.

Nataka nirudi kwenye xiaomi au oppo
Yeah bora urudi kwa mpenzi Beijing
 
Naipenda sana Huawei yangu,
Inanistiri sana

nilivyo mzembe ingekuwa Samsung sijui kama ningekuwa na smartphone
 
Mie Samsung S6 yangu hadi leo imenishinda kuweka kioo mana nimeambiwa kwa rahisi ntapata kwa sh laki mbili thelathini. Nimeipumzisha kwanza mpk nipate hela. Hii simu kwangu ni muhim kuitengeneza coz ninayo kama miaka minne sasa so ina vitu vyangu kibaoo
230k nayo Hela?
 
Samsung simu zao zipo katika category 3 kubwa

1.Note series ni special kwa kipato kikubwa

2.S series ni special kipato cha kati

3.A series (J series) watu wa kupato cha chini (kwa hiyo hera yako unaweza kupata A series na hazina ubora kivile) angalau kama ukipata J series kidogo ni ngumu ila ni za zamani kidogo
Umesahau y series
 
Wewe ni mjuaji that why UMEPIGWA Samsung original haivunjiki kioo kifala

now natumia Note 10 ilianguka kutoka juu ya jokofu accer kubwa mpaka kwenye tiles lkn haikuvunjika hata kidogo

pia mdogo wangu nilimnunulia Samsung J5 prime toka 2018 mwanzoni mpaka leo haina mchubuko hata kidogo kwenye kioo na huwa inaiangusha mara nyingi tu (kutoka juu ya kitanda mpaka chini)
Khaaaaa Yani samsung kupasuka kioo ni Idhinisho la fake????
Maajabu haya, Cha ajabu unatoa fact eti yako uliiangushoa kutoka kitandani mpaka chini haikupasuka???
Hivi simu gani hio inapasuka katika height hioo?

Simu inaweza pasuka kioo katika mazingira yyt yale, kwa kutegemea
Angle iliyoangukia,
Surface in contact with...,
Height,

Sasa wewe umeangusha simu yako eti toka kitandani mpk sakafuni labda ikalala flat, unalinganisha na alieangusha toka usawa wa kifua mpk chini halafu kioo kika angukia Jiwe????
 
Samsung simu zao zipo katika category 3 kubwa

1.Note series ni special kwa kipato kikubwa

2.S series ni special kipato cha kati

3.A series (J series) watu wa kupato cha chini (kwa hiyo hera yako unaweza kupata A series na hazina ubora kivile) angalau kama ukipata J series kidogo ni ngumu ila ni za zamani kidogo
Mkuu S-series haijawahi kua Mid-range,
S na Note wote ni high end, Wanatofautiana tuu miezi, S-series inatokaga February, Kuanzia hapo mpaka July Anakua ndio flagship ya mwaka(3 quarter) ya samsung, baada ya hapo Inatoka Note yenye Same namba ya S kumalizia mwaka na ndio inatambulika kama flagship ya kufungia mwaka sababu ya specs zilizozid S kidogo, lakini pembeni yake ipo S-series,


A- series always ni mid range, Zamani C-series series nayo ilikua kwenye mid range(Asaivi ishatolewa kwenye soko)

M-Series ndio low end, zamani kulikua na hizi J-series pia katika hili grp.
 
Mwaka jana mwezi wa 9 nilinunua simu ya samsung S9+, niliachana na matumizi ya Tecno na Infinix. Baada ya muda kwa bahati mbaya simu ilianguka, na kupasuka kioo.

Ilianza kunisumbua sana, hatimaye ikazima moja kwa moja. Inaonekana hata kioo chake hakiko imara.

Shida nilipokwenda kubadili kioo, Mungu wangu sikuamini , nilijua mafundi wanataka kunipiga, nimezunguka wee mpaka nikachoka, lakini bei ni ileile.

Mwisho nilipata mahali laki tatu na nusu, fundi 20 jumla 370,000/= . kwa usawa huu jamani mi naitoa wapi? Nimeichukia sana, sina hamu nayo tena. Kama ningejua mapema nisingenunua bora ningeendelea tu na hii mitecno yetu
Mi ninayo J7 niliyonunua 2016, nishapasua kioo kama mara 2, ni balaa.., japo ni nyingine ila hii siiachi, maana mashine ni imara mno!
 
Mwaka jana mwezi wa 9 nilinunua simu ya samsung S9+, niliachana na matumizi ya Tecno na Infinix. Baada ya muda kwa bahati mbaya simu ilianguka, na kupasuka kioo.

Ilianza kunisumbua sana, hatimaye ikazima moja kwa moja. Inaonekana hata kioo chake hakiko imara.

Shida nilipokwenda kubadili kioo, Mungu wangu sikuamini , nilijua mafundi wanataka kunipiga, nimezunguka wee mpaka nikachoka, lakini bei ni ileile.

Mwisho nilipata mahali laki tatu na nusu, fundi 20 jumla 370,000/= . kwa usawa huu jamani mi naitoa wapi? Nimeichukia sana, sina hamu nayo tena. Kama ningejua mapema nisingenunua bora ningeendelea tu na hii mitecno yetu
Ulinunua simu refurbished mkuu, hizi ni kama mitumba ambayo iliharibika ila ikawekewa spare mpya dhaifu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom