Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,130
- 41,805
[emoji23][emoji23]jamaa kanunua s3 kwa 270,ikafa kioo kwenda kuuliza anaambiwa kioo 280.
akabaki haelewi[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]jamaa kanunua s3 kwa 270,ikafa kioo kwenda kuuliza anaambiwa kioo 280.
akabaki haelewi[emoji23][emoji23][emoji23]
Thamani ya kioo cha Samsung unatelekeza simu bila kupendaAiseeee
Jmn mnisaidie,nahitaji Samsung, duh mpk naogopa kupata fake!Mkuu acha kufananisha Samsung na vitu vya ajabu. Hivi uko serious kweli? Kwanza inatia mashaka mtu kuhama tecno hadi flagship ya Samsung. Siku nyingne ukitaka kununua kitu km huna uzoefu omba msaada kwa wazoefu. Hapa natype na Samsung ya 4 kumiliki na sioni pa kwenda.
Kitu Super Amoled+ display, acha masihara mkuu ila nlikuwa nachomekea tu.
Asante aisee kwa kunielewesha,nilikuwa najiuliza ni kitu gani hiki "refurbs"Mnaonunua simu kariakoo, makumbusho mnaambiwa mpya wengi mnapigwa.
Sio kwamba ni feki bali zinajulikana kama refurbs.
Yaani simu original zilizokua na matatizo mbalimbali zikatengenezwa kwa kubadilishwa parts zenye shida.
Refurbs hazina ubaya ila tatizo ni kwamba refurbs zote au asilimia 99 zinatoka china.
Mchina anakusanya simu zilizoharibika ana repair na parts za hovyo, kuanzia vioo, camera, battery, na component nyinginezo lengo ni kutumia gharama ndogo kadri awezavyo kisha zinakuwa packed kwenye mabox yake pamoja na chargers, earphone manual, full sealed ukiikuta kariakoo unaambiwa mpya.
Ukitaka samsung, mpya isiyo na longolongo nenda kwa samsung stores au authorised dealers wale wanazo brand new, ila tu bei zimesimamia ukucha inabidi uvumilie kwenye bei.
Chukua hii.
Cat S41Yeah weka
Hii smartphone ya cat ni bei gani?
Kuna simu wanaita Xiaomi mkuu ni za China ila ziko poa sana.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] simu gani ya mchina ambayo kidogo unaikubali?
Duh[emoji144][emoji144]Nunua online kama vile kutoka aliexpress.Hakuna kazi ngumu kama kununua/kupata simu original bongo.Ni heri upewe kipande cha shamba ulime kwa jembe la mkono kuliko kufanya kazi ya kupata simu original Bongo.Nyingi ni fake,copy na refurbished lakini wanazipack vizuri kuliko simu original zenyewe!Na mbaya zaidi wanaziuza bei ya simu original
Duh!
Bei yake imesimama.Hii smartphone ya cat ni bei gani?
Duh[emoji144][emoji144]
Na Z series?Samsung simu zao zipo katika category 3 kubwa
1.Note series ni special kwa kipato kikubwa
2.S series ni special kipato cha kati
3.A series (J series) watu wa kupato cha chini (kwa hiyo hera yako unaweza kupata A series na hazina ubora kivile) angalau kama ukipata J series kidogo ni ngumu ila ni za zamani kidogo
Kwa kifupi Hiyo simu siyo ya kitoto.Duh!
Camera yake je?iko vzr mkuu?
Rafiki am missing you so much!🙏🙏🙏🙌Na Z series?
S series na series ya note hapo ndo kuna simu sasa😁Napenda samsung na sitohama. Ila S series niliishia s6. Naonaga kama S series ziko delicate sana
Mkuu ukitaka simu original inabidi ununue kwa dealer wa kuaminika, hasa anayeagiza mwenyewe au wakala wa kampuni, afu pia jaribu kununua simu ambayo haijakaa sana sokoni tangu itoke, vingnevyo tafuta mtaalamu akusaidie kununua (kukagua).Jmn mnisaidie,nahitaji Samsung, duh mpk naogopa kupata fake!
Nilitumia kitambo,baada ya kuibiwa nikatumia tecno duh nataka nirudi
Kwasisi walevi hazitufai kabisa nilikua na A50 haikukaa week 2 kioo kikaenda kwao...ikabidi nikate glass nakuweka nyingine."SAMSUNG IS AS GOOD AS LONG AS IT HASN'T A BROKEN SCREEN"[emoji13]
Ikipasuka ni msiba wakati vioo vya tecno ni elfu 50 tu your are back in business.
China inategemea na brandhivi Samsung ni mkorea yule ?
lakini huwa sielewi kwanini products za china huonekana fake wakati hata iphone inakuwa assemblies china