Nimechukia sana Simu za Samsung, bora TECNO tu

Nimechukia sana Simu za Samsung, bora TECNO tu

Samsung simu zao zipo katika category 3 kubwa

1.Note series ni special kwa kipato kikubwa

2.S series ni special kipato cha kati

3.A series (J series) watu wa kupato cha chini (kwa hiyo hera yako unaweza kupata A series na hazina ubora kivile) angalau kama ukipata J series kidogo ni ngumu ila ni za zamani kidogo
Note series na S series ni kama level moja tu,yaani intended class ya consumer..
 
Wewe ni mjuaji that why UMEPIGWA Samsung original haivunjiki kioo kifala

now natumia Note 10 ilianguka kutoka juu ya jokofu accer kubwa mpaka kwenye tiles lkn haikuvunjika hata kidogo

pia mdogo wangu nilimnunulia Samsung J5 prime toka 2018 mwanzoni mpaka leo haina mchubuko hata kidogo kwenye kioo na huwa inaiangusha mara nyingi tu (kutoka juu ya kitanda mpaka chini)
Kweli kabisa mkuu Samsung original haipasuki kioo kizembe. Nilinunua J7 toka 2016 mpaka leo hii ni nzima kabisa mtoto wangu mdogo huwa anaiangusha kama mpira ila ipo imara kuna siku moja ilianguka floor moja mpaka chini nikajua imeshakufa ila nashuka chini kuokota ni nzima na wala haijazima. Nina A51 imeanguka toka juu ya meza mpaka chini ikiwa haina protector na kioo kizima kabisa.
 
Dada sikia ulipata fake s9, nina s6 plus inadunda mpaka leo, vioo vya og vipo kama plastic hivi havivunjiki

Sasa nina note 10, pia iko hivo hivo

Sihami samsung kabosa
Acha kumshutua mtoto wa watu. Ingekuwa vioo og havivunjiki sidhani kama vioo vingekuwa vinatengenezwa.
 
Yaani kuanguka kutoka juu ya kitanda. Eti umenunulia mdogo wako. Ndiyo kunakufanya uongee lugha ya kubeza namna hii. Unafahamu aliiangusha katika mazingira gani, nimeziona samsung halisi zimevunjika vioo. Punguza ukali wa maneno na kujigamba. Kila mtu ana mazingira yake, jifunze hilo
Akibisha sana, tukutane sehemu aiangushe jinsi anavyojigamba. Isipovunjika tunampa dau, ikivunjika anapambana na hali yake.
 
Kama mtu ulikua unatumia tecno na infinix kisha ukahamia kwenye simu za samsung huwezi rudi nyuma tena, labda kama uchumi umekaa vibaya kidogo. Waliowahi kutumia hizi simu zote watakua wmenielewa.
Muhimu ni utunzaji ila samsung ni bab kubwa.
Mie nimetoka kwa Sumsung nikahamia Infinix, na satisfaction kama yote!!
 
Kweli kabisa mkuu Samsung original haipasuki kioo kizembe. Nilinunua J7 toka 2016 mpaka leo hii ni nzima kabisa mtoto wangu mdogo huwa anaiangusha kama mpira ila ipo imara kuna siku moja ilianguka floor moja mpaka chini nikajua imeshakufa ila nashuka chini kuokota ni nzima na wala haijazima. Nina A51 imeanguka toka juu ya meza mpaka chini ikiwa haina protector na kioo kizima kabisa.
huyo jamaa ni mjuaji atakuwa aliuziwa Samsung ambayo ni illegal from viwanda vya china
 
Nazikubali nyingi mkuu ila tatizo ni uchumi wangu tu hautoshi, saiv natumia A50 nlichukua kwa 600k coz hizo za milioni mbili simudu. Ila ukitaka simu angalau nzuri isiwe chini ya laki 5. Samsung za chini ya laki 4 zimevamiwa na mchina.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] simu gani ya mchina ambayo kidogo unaikubali?
 
huyo jamaa ni mjuaji atakuwa aliuziwa Samsung ambayo ni illegal from viwanda vya china

hivi Samsung ni mkorea yule ?
lakini huwa sielewi kwanini products za china huonekana fake wakati hata iphone inakuwa assemblies china
 
Note ni bora zaidi hata bei ni tofauti S ima 1.1 milion na note ina 1.7 milion
Hakuna kitu kama hicho..hizo bei hazipishani sana.. Kwahiyo mkuu S20 ilivyotoka ilikuwa inauzwa 1.1m??..
 
Samsung ni mali ya wakorea viwanda vipo china kwa sababu ya cheap labour

wachina wana tabia ya kufungua viwanda bubu vya bidhaa zenye brand kubwa alafu wakauza kwa bei chee

samsung nzuri hasa hizi toleo la walala hoi ni vyema mtu akachukua ambazo zimeunganishiwa india na Vietnam
hivi Samsung ni mkorea yule ?
lakini huwa sielewi kwanini products za china huonekana fake wakati hata iphone inakuwa assemblies china
 
Hakuna kitu kama hicho..hizo bei hazipishani sana.. Kwahiyo mkuu S20 ilivyotoka ilikuwa inauzwa 1.1m??..
Nadhani tusibishane kuhusu bei coz siwezi kujua wewe ulinunua katika mazingira gan

S na Note zina ubora tofauti japo sio wa kutisha ila ni mkubwa
 
Mmh,mbona mnanitisha!
Nataka ninunue Samsung
Nunua online kama vile kutoka aliexpress.Hakuna kazi ngumu kama kununua/kupata simu original bongo.Ni heri upewe kipande cha shamba ulime kwa jembe la mkono kuliko kufanya kazi ya kupata simu original Bongo.Nyingi ni fake,copy na refurbished lakini wanazipack vizuri kuliko simu original zenyewe!Na mbaya zaidi wanaziuza bei ya simu original
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom