Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,954
- 3,011
Fundisha Temporary shule Binafsi au Fanya Home Tuition unamfuata mwanafunz alipo unam charge kwa kila somo Ukiwa Mwalimu hufi njaaa
tulia tu afadhali hata nyie mna uhakika one day yes,,,, wengine hata hatujui kama zitatokaNimekuwa kufarijiwa kwa muda mrefu kuwa nivumilie ajira za walimu zitatoka mapema. Ila sasa mpaka nimekata tamaa maana wanasiasa ni kawaida yao maneno mengi mwaka unaisha tunaingia mwaka mwingine mambo hayaelewiki.
Mtaani kunachosha yaani daah hata sijui
Uko first year weweTatzo muwapo vyuon mnajisahau hamkumbuk kwamb kuna maisha baada ya boom sasa matokeo ndo hayo by the way mm nipo chuo na nasoma education lkn nkimaliza hata nicpopata ajira life litasonga2 bcz i have plan b already
MSEMA KWERIIIIIII NI MPENZI WA MUNGU...MNIOMBEEKadiri mwezi wa nane unavyoelekea kuisha kauli ya Rais ya haitazidi miezi miwili ndiyo inanifanya nimshangae His excellency
Nimetafakariiiii...... Hii kauli kuna kitu kimejificha ndani yake kama utachunguza utagundua kituMSEMA KWERIIIIIII NI MPENZI WA MUNGU...MNIOMBEE
Acha kulia lia Kuwa na plan b msipopangiwa kabsa itakuajNimekuwa kufarijiwa kwa muda mrefu kuwa nivumilie ajira za walimu zitatoka mapema. Ila sasa mpaka nimekata tamaa maana wanasiasa ni kawaida yao maneno mengi mwaka unaisha tunaingia mwaka mwingine mambo hayaelewiki.
Mtaani kunachosha yaani daah hata sijui
Nawewe nae usiwe unakurupuka kuandika comment. Maana hujui unaemuandikia yupo katika mazingira gani na hali gani.Acha kulia lia Kuwa na plan b msipopangiwa kabsa itakuaj
Mwanamme mzima nimwonee huruma akiwa na familia ake ikimshinda ataludi kwao kulia lia ww pia huna msaada kwake afanye shughuli nyingine nyingi kipindi anasubiria post analalama nn sasaNawewe nae usiwe unakurupuka kuandika comment. Maana hujui unaemuandikia yupo katika mazingira gani na hali gani.