Nimechoka kusubiri ajira za walimu

Nimechoka kusubiri ajira za walimu

Ni jambo la kuumiza sana tena sana serikali , mheshimiwa Magufuli anatutalia kuona amekaa kimya tu amesahau ahadi yake. Mimi ninawaomba tuungane tuandike waraka na tumfikishie mheshimiwa magufuli maana naona amejisahau .. Hivi sisi hatuwezi kutumia vyombo vya habari / mitandao ya kijamii. Kupaza sauti kwa hili hebu yeyote mwenye mawasiliano au akaunti za wakubwa hao tusaidiane tufikishe ujumbe ..

Kinachoumiza nilikuwa nimeajiriwa nikasafiri vuka mikoa mitano kwenda interview nikarudi nyumbani nikajipanga kuripoti kituo cha kazi Ni kapanga na nyumba mwaka mzima.... Alafu ndani ya mwezi unasimamishwa inaumaaa sana . nimerudi nyumbani miezi miwili alioahidi bado kimya.. MTU sasa unashindwa hata kufungua biashara maana unawaza unaweza maana mguu moja nje moja ndani unakuwa dilemma Leo unaweza kuaza michakato ya kulipia mlango kesho unaambiwa rudi kazini .. This frustrates me San serikali hii ituweke wazi tujue moja ili watu tuwe free kufanya mambo yetu
 
kwahyo hizo nafas 35411 Walzotangaza n walm wa science et e nadhn hutumii medura oblangata kufklia na kama we n mwalim utakua una vipnd 48 kwa wik
 
Ni jambo la kuumiza sana tena sana serikali , mheshimiwa Magufuli anatutalia kuona amekaa kimya tu amesahau ahadi yake. Mimi ninawaomba tuungane tuandike waraka na tumfikishie mheshimiwa magufuli maana naona amejisahau .. Hivi sisi hatuwezi kutumia vyombo vya habari / mitandao ya kijamii. Kupaza sauti kwa hili hebu yeyote mwenye mawasiliano au akaunti za wakubwa hao tusaidiane tufikishe ujumbe ..

Kinachoumiza nilikuwa nimeajiriwa nikasafiri vuka mikoa mitano kwenda interview nikarudi nyumbani nikajipanga kuripoti kituo cha kazi Ni kapanga na nyumba mwaka mzima.... Alafu ndani ya mwezi unasimamishwa inaumaaa sana . nimerudi nyumbani miezi miwili alioahidi bado kimya.. MTU sasa unashindwa hata kufungua biashara maana unawaza unaweza maana mguu moja nje moja ndani unakuwa dilemma Leo unaweza kuaza michakato ya kulipia mlango kesho unaambiwa rudi kazini .. This frustrates me San serikali hii ituweke wazi tujue moja ili watu tuwe free kufanya mambo yetu
Swali hivyi hiyo mishahara ya miezi miwili ndo anaenda kujengea airport kwao Mwanza au ndo nauli ya dodoma ....Kaisha sahau kama alikuwa anapita kila mkoa kutuomba Kura...ama kweli siasa mchezo mchafu eti....
 
Jaribuni kukumbuka kura zenu mlivozipiga, wengine mlikuwa na taya ngumu sana kuisifia CCM, hata mimi hayanikosi ila wakati mwingine kama hatujakoma hivi
Daaah kama mimi nilipata Shida sana kuipigia chapuo kwa Wamasai huko Arusha ...leo najuta sana bora ningebakia kwangu nilale tu maana nilikuwa najiua mwenyewe.....bora wangekipindua tu....maana yote wanayoyafanya hivi sasa ni kujaribu kufuta makosa yao siyo kutusaidia masikini
 
Nimekuwa kufarijiwa kwa muda mrefu kuwa nivumilie ajira za walimu zitatoka mapema. Ila sasa mpaka nimekata tamaa maana wanasiasa ni kawaida yao maneno mengi mwaka unaisha tunaingia mwaka mwingine mambo hayaelewiki.

Mtaani kunachosha yaani daah hata sijui
Kubwa zimaa unajilizaliza ina maana hizo ajira zisipotolewa milele utakufa?
 
Kubwa zimaa unajilizaliza ina maana hizo ajira zisipotolewa milele utakufa?
Tatizo sio zisipotolewa .. Ishu Ni kuweka ahadi mfano angesema hakuna ajira basi mtu anaaza michakato yako kama Ni kwenda shamba au kuplani kitu kinhine cha kufanya.. Sasa umeambiwa ndani ya miezi miwili then inapita maana unaweza ukaamua kuingia plan B then wiki moja tena unaambiwa haya plan yako A imelamilika unayumbishwa
 
Tatizo sio zisipotolewa .. Ishu Ni kuweka ahadi mfano angesema hakuna ajira basi mtu anaaza michakato yako kama Ni kwenda shamba au kuplani kitu kinhine cha kufanya.. Sasa umeambiwa ndani ya miezi miwili then inapita maana unaweza ukaamua kuingia plan B then wiki moja tena unaambiwa haya plan yako A imelamilika unayumbishwa
Ina maana hiyo plan B yako hawezi kwenda sambamba na plan A kama nayo itatiki? Graduate gani wewe unayepanga plan isiyoendana na mazingira halisi? Naomba uvue joho la u - graduate ujivishe joho la u-je. S. Ca tafadhari.
 
Ina maana hiyo plan B yako hawezi kwenda sambamba na plan A kama nayo itatiki? Graduate gani wewe unayepanga plan isiyoendana na mazingira halisi? Naomba uvue joho la u - graduate ujivishe joho la u-je. S. Ca tafadhari.
Fikiria kabla ya kumkosoa mtu.. Plan A. Iki tiki haijulikan ita kupeleka Wap, let say umelima matiki yako Mbeya huko Plan A ikitiki unaambiwa uende manyara..

Huoni kama utapata hasara kwa plan B yako..

Think b4 hujaongea.. jarbu elewa mtu ana maanisha nni...
 
Ndo maana nimesema hana kiwango cha kuitwa "graduate" kwa sababu hawezi kutengeneza mpango unaoendana na mazingra. Huwezi kulima matikiti wakati huo huo unategemea ajira zitoke na hujui utapangiwa wapi. Kwa hali hiyo ni lazima uwe na mpango ambao ata kama uko Mbeya ukipangiwa kazi Kilosa mambo yasiharibike na huo mpango uwe ndo kitega uchumi chake ata utakapokuwa huko kwenye ajira. Uwe una-roll kwanza kabla ujaleta "comment" ya u.ki.la.za.......Je.S.Ca mkubwa weeeeee!
 
Fikiria kabla ya kumkosoa mtu.. Plan A. Iki tiki haijulikan ita kupeleka Wap, let say umelima matiki yako Mbeya huko Plan A ikitiki unaambiwa uende manyara..

Huoni kama utapata hasara kwa plan B yako..

Think b4 hujaongea.. jarbu elewa mtu ana maanisha nni...
Ndo maana nimesema hana kiwango cha kuitwa "graduate" kwa sababu hawezi kutengeneza mpango unaoendana na mazingra. Huwezi kulima matikiti wakati huo huo unategemea ajira zitoke na hujui utapangiwa wapi. Kwa hali hiyo ni lazima uwe na mpango ambao ata kama uko Mbeya ukipangiwa kazi Kilosa mambo yasiharibike na huo mpango uwe ndo kitega uchumi chake ata utakapokuwa huko kwenye ajira. Uwe una-roll kwanza kabla ujaleta "comment" ya u.ki.la.za.......Je.S.Ca mkubwa weeeeee!
 
Ndo maana nimesema hana kiwango cha kuitwa "graduate" kwa sababu hawezi kutengeneza mpango unaoendana na mazingra. Huwezi kulima matikiti wakati huo huo unategemea ajira zitoke na hujui utapangiwa wapi. Kwa hali hiyo ni lazima uwe na mpango ambao ata kama uko Mbeya ukipangiwa kazi Kilosa mambo yasiharibike na huo mpango uwe ndo kitega uchumi chake ata utakapokuwa huko kwenye ajira. Uwe una-roll kwanza kabla ujaleta "comment" ya u.ki.la.za.......Je.S.Ca mkubwa weeeeee!
Labda wizi kama username yako ilivyo..
 
Ndo maana nimesema hana kiwango cha kuitwa "graduate" kwa sababu hawezi kutengeneza mpango unaoendana na mazingra. Huwezi kulima matikiti wakati huo huo unategemea ajira zitoke na hujui utapangiwa wapi. Kwa hali hiyo ni lazima uwe na mpango ambao ata kama uko Mbeya ukipangiwa kazi Kilosa mambo yasiharibike na huo mpango uwe ndo kitega uchumi chake ata utakapokuwa huko kwenye ajira. Uwe una-roll kwanza kabla ujaleta "comment" ya u.ki.la.za.......Je.S.Ca mkubwa weeeeee!
Uko poa sana yaani ni wachache wanawaza kama wewe hata Ba Jesca umemzidi maana mawazo yao ni ya kukurupuka kama huyo fala na plan B za kisenge.....Big up
 
Aliye na shibe hamjui mwenye njaa....Huh huh huh yaani watu wa humu huh huh huh ila cha msingi ni kujiongeza tu mfano mm nilivyomaliza tu nikaanzisha kabiashara kangu cha huduma za kisimu kusajili laini za cmu kutoa na kuweka pesa na niliaza na laini moja tu ya Airtel money lakini kwa sasa nnazo tatu na kiwango ninacholipwa ni zaidi ya mshahara wangu ambao nategemea kulipwa na serikali ushauri wangu kwa wenzangu tunaosubiri ajira tufanye kama ajira hakuna vile then zikitokea kama bahati mbaya vile, kubali kula hasara ili uziishi ndoto zako kinyume na hapo utakonda kwa mawazo....poleni sana wahangu wenzangu ipo siku Mh atasikia kilio chetu..
 
Back
Top Bottom