levie ze Madame
Member
- Jul 7, 2016
- 7
- 1
Kumbe tupo wengi,tumia prof yako hata kwa kufanya tempo shule za bnafsi
Mwezi wa 9 ndio tetesi za mjini subirini waaalim
no time to waste, do what you beliveMheshimiwa Spika, mnamo mwezi Mei 2016, Serikali inatarajia kutoa ajira za walimu wapatao 40,000 ikijumuisha wa cheti, Stashahada na Shahada ili kukabiliana na upungufu wa walimu uliopo katika shule za Msingi na Sekondari nchini. Zaidi ya shilingi bilioni 17 zitahitajika kwa ajili ya kulipa posho pamoja na watakaoajiriwa nauli na halmashauri zote nchini. Elimu ya Sekondari za walimu wapya kupelekwa katika
If they don't employ they must make press release and not continuing promising us they leave us in dilema of whether to start a new business or to quit waiting the postno time to waste, do what you belive
no time to waste, do what you belive
Mkuu unanifurahisha jinsi unavyojifarijitusikate tamaa ndugu zangu mwezi ujao tutaajiriwa
ndo kilichobaki mkuu maana maneno yote tumeshayamalizaMkuu unanifurahisha jinsi unavyojifariji
If you are art subjects teacher nothing to wait. Jiongeze usisubir kila kitu uambiweIf they don't employ they must make press release and not continuing promising us they leave us in dilema of whether to start a new business or to quit waiting the post
If you are art subjects teacher nothing to wait. Jiongeze usisubir kila kitu uambiwe
Yaani haka kajamaa ni kanafiki sana haka, kumbe hata kiinglish hujui, unawezaje kujua siri za serikali sasa!? Nyie vihaya bwana hata kama umeishia la saba unang'ang'ana tu kuongea kiinglish. P.u.mbavu zako. K.i.laza ww.If you are art subjects teacher nothing to wait. Jiongeze usisubir kila kitu uambiwe