Nimechoka kusubiri ajira za walimu

Nimechoka kusubiri ajira za walimu

Mwanamme mzima nimwonee huruma akiwa na familia ake ikimshinda ataludi kwao kulia lia ww pia huna msaada kwake afanye shughuli nyingine nyingi kipindi anasubiria post analalama nn sasa
Mpe mwelekeo, kazi gani kwa mfano. Na umejuaje ni mwanaume?
 
UKIONA MAISHA YANAKUWA MAGUMU SANA KWAKO HATA KAMA WEWE NI MFANYAJI WA MAOMBI MZURI SANA :ANGALIA NA CHUNGUZA MAHUSIANO YAKO WEWE NA MUNGU UTAKUTA KUNA KASORO FULANI HUWA UNAIFANYA. VIJANA ZINAA ITATUPELEKA PABAYA
subira huvuta heri huenda na mishahara mipya pia ikatangazwa siku ya jira zenu.BAADA YA DHIKI FARAJA!
 
Alieshikilia mpini alituahidi haitazidi miezi miwili cha ajabu bado siku 13 tutimize miezi mitatu.hajui kama tunateseka na thamani ya taaluma zetu haipo kabisa.
 
Kwa wanaotukejeli wananikumbusha shairi hili la kiingereza written by joe corrie "Eat more fruits,the slogan say.eat more beef,more meat,more bread .But I'm an unemployment more pay my third year now and wed. And so I wonder when I Will see the slogan When I pass The only one that would suit me eat more bloody grass!
 
Kwa wanaotukejeli wananikumbusha shairi hili la kiingereza written by joe corrie "Eat more fruits,the slogan say.eat more beef,more meat,more bread .But I'm an unemployment more pay my third year now and wed. And so I wonder when I Will see the slogan When I pass The only one that would suit me eat more bloody grass!
 
jana tulikuwa na semina na katbu wa cwt wilaya akagusia na suala la ajira mpya, akasema kwa mujibu wa data zake wilaya yetu inategemea kupata walimu wapya kadhaa ndani ya mwezi huu wa 9 watawasili. vuteni subra walimu wenzangu mambo yameiva
 
jana tulikuwa na semina na katbu wa cwt wilaya akagusia na suala la ajira mpya, akasema kwa mujibu wa data zake wilaya yetu inategemea kupata walimu wapya kadhaa ndani ya mwezi huu wa 9 watawasili. vuteni subra walimu wenzangu mambo yameiva
Hahaha wengi wanajiandaa na kilimo kwa ambao msimu unaanza mwezi wa 10.

Hakuna imani tena na hizi ahadi za uvumilivu.
 
jana tulikuwa na semina na katbu wa cwt wilaya akagusia na suala la ajira mpya, akasema kwa mujibu wa data zake wilaya yetu inategemea kupata walimu wapya kadhaa ndani ya mwezi huu wa 9 watawasili. vuteni subra walimu wenzangu mambo yameiva
Hao CWT ndo mdudu gani ktk maswala ya ajira?
 
Nimekuwa kufarijiwa kwa muda mrefu kuwa nivumilie ajira za walimu zitatoka mapema. Ila sasa mpaka nimekata tamaa maana wanasiasa ni kawaida yao maneno mengi mwaka unaisha tunaingia mwaka mwingine mambo hayaelewiki.

Mtaani kunachosha yaani daah hata sijui
usimuamini mwanasiasa yeyote hata kama nimzazi wako. mwanasiasa ni muongo sana.
 
Back
Top Bottom