rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,206
- 20,191
Aziz k ni free agent hajanunuliwa Kwa Bei kubwa
hauna haja ya kusingizia wewe ni simba ili ku make point yako boss wangu, outarra,okwa,okrah, akpan, kiyombo,kapama...hela imelipwa hapoWe chizi kweli.
Watahe hao wachezaji wa Simba waliovunjiwa mikataba kwenye klabu zao sisi Simba tukazilipa hizo timu tukawasajili.
Hao ndio wachezaji NYOTA?hauna haja ya kusingizia wewe ni simba ili ku make point yako boss wangu, outarra,okwa,okrah, akpan, kiyombo,kapama...hela imelipwa hapo
halafu hoja ni kuhusu umbeya wa wazungu na wabongo kumsaliti Barbara na kumsema vibaya kwa makanjanja ya nje ya nchi sasa kupata wachezaji wa bure kunahusiana nini na umbeya wa makocha?
Napoteza muda wangu kwako, IQ zerohawa wachezaji wa bure wanahusiana nini na mada niliyopost kuhusu makocha wambeya? whats your point mr genius?
Kwani kufundisha timu ya taifa si mafanikio?wapi nimesema lolote kuhusu maisha ya mtu? nazungumzia yupi aliyefanikiwa baada ya kutoka simba, ndugu yangu nimeleta hii mada kuhusu umbeya una o leak , hao wazungu najua hamuamini kama ni backstabbers na wambeya lengo ni kutaka Barbra aYAjue haya kama alikuwa hajui
Huenda amekusikiami nateseka na tozo tu nimeweka haya hadharani ili Barbara ajue tu kwamba anaowaajiri huwa wanamsema vibaya pembeni kwa waandishi wa nje labda apunguze shobo kwa wazungu
Imekuwa kweli nini?Duh imekuwa kweli