Nimechati na mwandishi wa Afrika Kusini: wazungu wanaisema vibaya Simba. Zoran anafanya makusudi avunjiwe mkataba na kijana wake walipwe mamilioni

BONGO 3D

Member
Jul 25, 2022
25
23
Lorenz kohler ni mwandishi mkubwa sana south africa, matter of fact is, ni best sports journalist wa huko award hiyo kashinda mwaka huu

Kuna siku nilibishana naye facebook kuhusu lile sakata la simba na kocha wa pirates, aliandika yake nikayapuuza lakini kuna trend nimejaribu leo kuuunganisha dots ni kwamba Barbara anazungukwa sana simba na wabongo pamoja na wageni anaowaajiri

Kuna issue ya yeye kupenda sana makocha wazungu,mwaka huu tulisikia fununu ya kocha m ghana au yule wa horoya tukasema afadhali ...badala yake kaletwa mzungu KAPEWA MKATABA HEAVY wa mwaka mwaka mmoja kufikisha team nusu fainali CAF kwa maoni yangu tayari keshaingiwa uoga atafanya kila fyongo awezalo afukuzwe yeye na mzungu mwenzake wafidiwe

Makocha wa kizungu wanafiki sana, kuanzia uchebe ambaye leo anahangaika na team inayohangaika hata kumlipa mshahara huko kenya,kishingo,pablo, Gomez,Damon kocha wa makipa msouth africa, wote wamemwaga sana siri za simba kwa huyo m south africa ambaye ni rafiki pia wa senzo

na kuna wabongo pia wanamwaga sana ubuyu kwa huyo jamaa ambaye bila shaka mengineyo anayafikisha upande wa pili kiulaini

Kumbuka yule"meneja wa kagere"mnyarwanda alisema Gomez alikuwa analalamika kuhusu simba na kutoa siri za ndani huku akimuomba jamaa amuunganishie kazi team ya taifa ya rwanda?

Pablo ile picha yake na Morrison baada ya BM3 kutupiwa virago simba unahisi nini kilikuwa kinaongelewa, tena pablo ndo amekaa ana sura ya kiumbeya zaidi

Huyu wa sasa ndiye atavunja rekodi siku akitimuliwa atatapika nyongo siyo la nchii hii na ninahisi itakuwa mwisho wa Barbara kushobokea wazungu

Nasema tu kwa uchungu kama mwanasimba otherwise naomba tufanikiwe tu mwaka huu ingawa kimakusudi wamekataa kununua kiungo mkabaji wa kuelewekeka na striker mnyumbulikaji, wakafanya madudu wanayoyajua wao


kohler 1.JPG
kohler 2.JPG
 
Hakuna mzungu anayefanya vibaya ili aharibu CV hao watu wa afrika kusini wanajulikana Kwa majungu hata huyo senzo ana tabia za kiswahili kuhusu Babra ni kweli Hana uzoefu wa mpira na ndicho kinachomwangusha
nafikiri wanaoongoza kwa kunipinga hapa ni yanga maana ukisoma sehemu kidogo tu ya kohler alichosema nafikiri utakuwa umeelewa ni mambo mangapi ya simba yana leak, its High time labda Barbara apunguze shobo na hawa wazungu

huyu wa safari hii sidhani kama ana amani moyoni kwanza kapewa nafasi mbili za usajili kasajili madudu na kuna watu huwa wanatetea kocha ndiye anatakiw akusajili
 
Hakuna mzungu anayefanya vibaya ili aharibu CV hao watu wa afrika kusini wanajulikana Kwa majungu hata huyo senzo ana tabia za kiswahili kuhusu Babra ni kweli Hana uzoefu wa mpira na ndicho kinachomwangusha
unadhani wakiondoka hawanaga visingizio? baadye malalamiko yakiwa mengi utasikia hata fulani na fulani walisema hivi na vile kuhusu simba
 
Akienda kuomba kazi wataangalia mafanikio aliyopata alipotoka ndio maana kina Gomes na Kishingo walipata kazi nzuri walipotoa Simba
Gomes hana kazi nzuri yuko jordan huko, ni kishingo tu aliyefanikiwa, Uchebe ndo kabisa kila siku kususa afc leopards mshahara ni tabu
 
Katika hapa kaenda kufundisha timu ya taifa baadae kaenda Jordan unajua mshahara anaolipwa hadi useme Hana maisha mazuri
wapi nimesema lolote kuhusu maisha ya mtu? nazungumzia yupi aliyefanikiwa baada ya kutoka simba, ndugu yangu nimeleta hii mada kuhusu umbeya una o leak , hao wazungu najua hamuamini kama ni backstabbers na wambeya lengo ni kutaka Barbra aYAjue haya kama alikuwa hajui
 
Mtasingizia vingi ila Boss Mo ni mbahili, anataka wachezaji walio huru.
NAFIKIRI simba imenunua wachezaji wengi cash kuliko yanga mwaka huu,jibu kwa fact ukitoa ki azizi nani kanunuliwa pale?
Halafu mada inahusu backstabbers na wambeya wenye ngozi za kizungu na wabongo wengine wanaoanika chupi za simba kwa makanjanja ya kimataifa
 
NAFIKIRI simba imenunua wachezaji wengi cash kuliko yanga mwaka huu,jibu kwa fact ukitoa ki azizi nani kanunuliwa pale?
We chizi kweli.

Watahe hao wachezaji NYOTA wa Simba waliovunjiwa mikataba kwenye klabu zao sisi Simba tukazilipa hizo timu tukawasajili.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom