Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Nimechapiwa rasmi nikaribisheni team kataa Ndoa!

Kwaiyo mkuu wanaume wakitoka nje ya ndoa sawa,ila wanawake ni roho mbaya si ndio
Sasa nani anamtafuta mwenzake na nani analipa mahali. Mahali ni kama kumnunua mke sasa ukianza kutombesha nje si unanidhulumu niliyekununua.

Mwanaume ni kawaida halafu sisi tunajua kutofautisha tamaa na upendo nje huwa ni kwenda kupandisha tu cv zetu na kufidia mapungufu madogo madogo mnayoyafanya na kubalance equilobrium maana wanawake ni wengi sisi ni wachache na tukisema tu stick na wake zetu kuna wanawake hawataliwa kabisa.
So tulieni muache papara sisi tunapenda wake zetu kuliko michepuko hata ikichomoka katikati ya gemu kwenye mchepuko huwa hatuirudishii mchepuko ndo unahangaika kuirudisha chap ili niendelee kuupiga nao. Lakini mke ikichomoka fasta abairudishia ndani ya mwizi wangu sasa si dharau hiyo.
 
Wakuu,

Hii sio Chit Chat wala Jokes bali ni The Most painful Day of my life.

Nimechapiwa mke wangu.

Hii ni baada ya kusafiri, mshikaji kapita na mke wangu Usiku wa Mei Mosi.

Wife katoka job Bandari, kaenda kumegwa kwa mwana akarudishwa saa nne usiku kinondoni.

Picha la kwanza simu ilizimwa mda wote nikaja kuambiwa battery inasumbua baada ya show kuisha.

Nilitulia nikajiridhisha kwa 100% ni tukio la kweli, leo nimemwagia ushahidi mezani kabaki kumsingizia shetani.

Kichwa kinauma ila hatimaye nimekubali ndoa ni wizi wa mchana kweupe. Maana hela nilimpa, show za kibabe ila itoshe kusema huwezi kumridhisha kiumbe aliezaliwa na mwanadamu.

Hapa sijamtimua bado maana nafikiria namna ya ku transition na mtoto huyu wa kindergarten. Ila trust me sitaloweka tena kwake aende tu kwa bwana wake wa Impala Terminals.

Mama yetu Mlezi Mh. Dkt. Gwajima D sitakuangusha tumeaswa sana humu ndani sitanyanyua hata mkono wangu aende tu salama kama alivyokuja salama.
Kwanini unasema show ya kibabe. Una uhakika gani unampa show yakibabe?
 
Naomba ujumbe kabisa, na sio mpenzi mtazamaji
Mara zote huwa nasema hayana mwongozo, na kwa bahati mbaya tunawapenda wanaotuumiza tunawaumiza wanaotupenda, cha muhimu uwe tayari kuyahimili maumivu bila kuleta madhara makubwa, jambo zuri ni kuwa wewe unaweza. Sio wanawake sio wanaume sote tumekuwa wasaliti, ubaya ni pale mmoja wetu akigundulika.

Usianze upya maana hata utakaempata atakuwa hivyo au awe hatari kuzidi huyo, jipe muda utafakari uyamalize.
 
Mara zote huwa nasema hayana mwongozo, na kwa bahati mbaya tunawapenda wanaotuumiza tunawaumiza wanaotupenda, cha muhimu uwe tayari kuyahimili maumivu bila kuleta madhara makubwa, jambo zuri ni kuwa wewe unaweza. Sio wanawake sio wanaume sote tumekuwa wasaliti, ubaya ni pale mmoja wetu akigundulika.

Usianze upya maana hata utakaempata atakuwa hivyo au awe hatari kuzidi huyo, jipe muda utafakari uyamalize.
Maisha yetu hatatakaa yawe sana hili ni doa kubwa sana na ni ngumu kuubeba huu mzigo moyoni kwa mtu nikae amka nae kitandani kwa miaka yangu/yetu yakuiishi iliyosalia.
 
Nina mke wa mtu ananisumbua hap ni mshone mumeo ni injinia wa trc anasimamia sgr muda mwingi yuko nje kikaz dad'a ana nyege za kisenge snaa tumepanga kwa aprtmemt moja Hapa bas hata alfajiri anatak aje nimep kimoja nimekatomba mara mbili ila naona kbsa Hapn anaitangenezea majanga
Have a class kama mwanaume dont sleep na wake za watu
 
Saluti nyingi sana kwako....huo ndio uanaume mwanangu....dunia uwanja wa fujo....hayo yamenikuta sana...mwanzoni ilinisumbua sana....baadae nikakomaa....nikaapa sitafuatilia tena....Kuna wakati katika kutafuta maisha nitajikuta naishi na mshangazi miaka zaidi ya 35 iliyopita.....nikawa napangwa mimi ni kaka mtu...napisha chumba nalala sebuleni....jamaa anabandua usiku kucha...na mimi nasikilizia......
Ujinga huu sasa ulikuwa jinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom