Nimeanzisha utaratibu wa kufanya kazi za nyumbani: Kufua, kuosha, vyombo, kupika etc

The Fishport Prince

Senior Member
Sep 25, 2023
135
304
Baada ya kumchunguza mke wangu Kwa muda mrefu nimegundua kazi za nyumbani yaani chores zinamchosha na kupelea kuwa na hasira zisizo na msingi mara Kwa mara.

Hivyo nimeanza utaratibu wa kufanya kazi za ndani hasa juma mosi na jumapili ambapo siendi kazini.

Leo niliamka saa kumi na moja alfajiri, maza house kuamka kakuta kamba zimejaa nguo zangu, zake na za watoto.

Mtori wa watoto upo kwenye chupa na chai yetu pia ipo tayari.

Kwa kweli nimeona jinsi mama watoto alivyoamka Kwa bashasha!

Rai yangu Kwa wanaume tufanye kazi za nyumbani kama sehemu ya majukumu hasahasa kipindi hiki ambacho binti wa kazi hawakai.

Hii pia itasaidia kuwavuta watoto wajue wewe kama baba umewahangaikia.
 
Nakupa nusu mwaka mkuu, madem hawapendi kuingiliwa majukumu Yao hata kama Unaona yanawachosha vipi. mfano mzuri ushaona mjamzito akiapa kutoshika mimba milele ila zinaingia tena na tena. Hapo imetosha usirudie tena mbuzi wewe la sivyo stori zako utazikuta mtaani soon.
 
Baada ya kumchunguza mke wangu Kwa muda mrefu nimegundua kazi za nyumbani yaani chores zinamchosha na kupelea kuwa na hasira zisizo na msingi mara Kwa mara.

Hivyo nimeanza utaratibu wa kufanya kazi za ndani hasa juma mosi na jumapili ambapo siendi kazini.

Leo niliamka saa kumi na moja alfajiri, maza house kuamka kakuta kamba zimejaa nguo zangu, zake na za watoto.

Mtori wa watoto upo kwenye chupa na chai yetu pia ipo tayari.

Kwa kweli nimeona jinsi mama watoto alivyoamka Kwa bashasha!

Rai yangu Kwa wanaume tufanye kazi za nyumbani kama sehemu ya majukumu hasahasa kipindi hiki ambacho binti wa kazi hawakai.

Hii pia itasaidia kuwavuta watoto wajue wewe kama baba umewahangaikia.
Mkuu mpe pesa hatachoka kabisaaa.Ila kama kuna kale upareee lazima achoke tena saana
 
Baada ya kumchunguza mke wangu Kwa muda mrefu nimegundua kazi za nyumbani yaani chores zinamchosha na kupelea kuwa na hasira zisizo na msingi mara Kwa mara.

Hivyo nimeanza utaratibu wa kufanya kazi za ndani hasa juma mosi na jumapili ambapo siendi kazini.

Leo niliamka saa kumi na moja alfajiri, maza house kuamka kakuta kamba zimejaa nguo zangu, zake na za watoto.

Mtori wa watoto upo kwenye chupa na chai yetu pia ipo tayari.

Kwa kweli nimeona jinsi mama watoto alivyoamka Kwa bashasha!

Rai yangu Kwa wanaume tufanye kazi za nyumbani kama sehemu ya majukumu hasahasa kipindi hiki ambacho binti wa kazi hawakai.

Hii pia itasaidia kuwavuta watoto wajue wewe kama baba umewahangaikia.
Bushoke
 
Msifanye kazi za ndani zinachosha sana nunueni vifaa vya kurahisisha kazi !! Mfano mashine ya kufulia , aache kutumia mkaa na kuni kwenye kupika tumieni gesi na umeme , Rice cooker , multi cooker , Pressure cooker , yaan hadi za kukaanga na kuchoma vitu !! sijaona tu mashine ya kuosha vyombo ila nyingine zote zipo tena kwa bei nzuri !! mpaka vikaango vya chapati ya hadi unga wa ngano siku hizi hatukandi ni mashine wewe kazi yako ni kuchanganya viamba upishi basi

Kazi yenu iwe kupanga vitu tu ndani na msisahau kufanya mazoezi ya mwili!!
 
Baada ya kumchunguza mke wangu Kwa muda mrefu nimegundua kazi za nyumbani yaani chores zinamchosha na kupelea kuwa na hasira zisizo na msingi mara Kwa mara.

Hivyo nimeanza utaratibu wa kufanya kazi za ndani hasa juma mosi na jumapili ambapo siendi kazini.

Leo niliamka saa kumi na moja alfajiri, maza house kuamka kakuta kamba zimejaa nguo zangu, zake na za watoto.

Mtori wa watoto upo kwenye chupa na chai yetu pia ipo tayari.

Kwa kweli nimeona jinsi mama watoto alivyoamka Kwa bashasha!

Rai yangu Kwa wanaume tufanye kazi za nyumbani kama sehemu ya majukumu hasahasa kipindi hiki ambacho binti wa kazi hawakai.

Hii pia itasaidia kuwavuta watoto wajue wewe kama baba umewahangaikia.
Nauza bendera sh 50000
 
Back
Top Bottom