Nimeanza maisha mapya kama Vegan

Nimeanza maisha mapya kama Vegan

Hutaki kula wanyama na products zao lakini unapambana kula chakula wanachopaswa kula wanyama...!!!
 
Ikiwa sijawahi kufeli, siamini katika kitu kufeli na katu sitokuja kufeli. Huu ni mwaka wa 21 bila sex ije kushindwa miaka kadhaa bakia?
Mimi nimemjua mwanamke nikiwa na miaka 27 chuoni hadi leo hii k au mwanamke sio ishu kwangu na nimeoa but sex sio kipaombele

Naweza kukata mwezi au hata miezi 2 bila kuijua mwanamke akitaka namzingua yaani sijamjengea maisha ya kunizoea na keshanizoea.

Ndio maana sijali Sana mambo ya mapenzi ,ko inawezekana maana naona kuwa na mwanamke kwanza ni mzigo wa kuwaza kumtia ila asingekuwepo naweza kukata miezi ya kutosha ko inawezekana kabisa kuishi bila sex
 
Natamani kuwa vegan, si sababu ya kuwahurumia wanyama lakini. Shida ni kuku roast na kitimoto.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] ishu ya kuku na kitimoto ni ngumu Sana kuacha but hupaswi kula kila mda japo kwangu kuku ni msosi nakula mara nyingi kwa wiki kutokana na mazingira niliko

Niliambiwa nyama nyeupe haina shida sijui hii imekaaje.
 
Hongera,
Kuna vitu nataka niachane navyo kabisa ila kwa wakati fulani natumia japo kwa kiasi sana kutokana na mazingira
[emoji736]Soda naweza kumaliza hata miezi sita sijanywa,nakunywa napolazimika tu
[emoji736]Nina miaka mingi situmii majani ya chai/kahawa
[emoji736]Nataka niachane kabisa na sukari ya kiwandani ila sijapata mbadala kwa hio natumia japo kwa kiwango kidogo sana
[emoji736]Natamani niache kunywa dawa za viwandani nitumie herbs tu japo bado nakumbana na vikwazo fulani.

Hili la kuachana kabisa na sukari kama kuna mtu kafanikiwa atuambie amewezaje?
Hapo kwenye dawa ndio pagumu but meditation na kuamini kutokuumwa na kujitunza kitakufanya usiugue na kutumia dawa,herbs hupatikanaji na uhakika wake wa kutibu ni mgumu.

Sukari tumia asali,kunywa maji mengi
 
Kuna watu wanaamini bila pombe hawezi jiamini au kufanya jambo kiushujaa ,hii ndio sawa na kusema kuacha sex ni ngumu

Napendaga kutoa mfano wangu binafsi nimeanza sex nikiwa na 26 hiyo ni 2014 na niko mzima kabisa ila sex na mambo ya kupendana hadi leo hii sio favourite kwangu.

Pili pombe sinywi aina yoyote lakini nashinda Bar na klabu za usiku nimeenda Sana kucheza mziki lakini sinaga aibu hata kidogo.

Kitu napenda ni mziki na niko addicted na mambo ya kujisomea na kujadiliana kwenye mitandao.

Nachoamini ni saikolojia unayoijengea akili yako tuu ila hakuna kisichowezekana.
 
usiombe uwe kwenye mahusiano na mtu halafu akaja kubadili mfumo wa maisha na kuwa vegan, ni either umfuate au kwaheri.
kila la heri ndg vegetarian.
Kwahiyo hawa vegan hawaoi?! Ntamfuata ila hivo vitu ntakula kisirisiri..[emoji16]
 
Vyote utaweza ila pressure ya kuoa/kuolewa jamii itakuhukumu. Utaambiwa sio rizki wewe, na watoto wadogo watakudharau kisa huna mke huna watoto, ukiweza kumudu hayo, we sio mtu bali jinamizi!
 
Kuna watu wanaamini bila pombe hawezi jiamini au kufanya jambo kiushujaa ,hii ndio sawa na kusema kuacha sex ni ngumu

Napendaga kutoa mfano wangu binafsi nimeanza sex nikiwa na 26 hiyo ni 2014 na niko mzima kabisa ila sex na mambo ya kupendana hadi leo hii sio favourite kwangu.

Pili pombe sinywi aina yoyote lakini nashinda Bar na klabu za usiku nimeenda Sana kucheza mziki lakini sinaga aibu hata kidogo.

Kitu napenda ni mziki na niko addicted na mambo ya kujisomea na kujadiliana kwenye mitandao.

Nachoamini ni saikolojia unayoijengea akili yako tuu ila hakuna kisichowezekana.
Well said! Wengi wanadhani wakishindwa wao kila mmoja baina yao atashindwa pia.
 
Vyote utaweza ila pressure ya kuoa/kuolewa jamii itakuhukumu. Utaambiwa sio rizki wewe, na watoto wadogo watakudharau kisa huna mke huna watoto, ukiweza kumudu hayo, we sio mtu bali jinamizi!
Kuna pressure kubwa zaidi ya hizi, nimeface na nipo imara. Sidhani kama nikihukumiwa na jamii kwangu inabadili uhalisia. Ni sawa na mtu akuite 'paka' haukufanyi kuwa paka.
 
Back
Top Bottom