isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,144
- 6,563
- Thread starter
- #21
Naamini katika uhalisia, siwezi kuongopa na kuwa mnafiki. Leo ni mwezi wa kumi bila ya soda na kemikali nyingine processed.Nakutamania, maisha mazuri hayo ila usijinyime sana ukatenda dhambi..mie nisipokula nyama 3dys roho hua inataka kutoka!
Soda nisipokunywa Coca sifanyi kitu nakua zoba.
Hapa niko sehem nasubiria mishikaki kwanza.
All the best
Mwezi wa tatu bila bidhaa yoyote toka kwa mnyama.