Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,900
Habari za asubuhi JF people?
Mimi ni Dalali wa Viwanja Magari Nyumba & Co. Kuna pesa huwa naipata gjafla kutokana na shughuli zangu za u middle Nimeamua kuanza kukopesha.
Watu ninaoanza nao ni waaminifu sana nawafahamu. Kwa kuanza tu nimeamua kuwapa mkopo wa masharti haya:
Je, nipo sahihi au najiumiza kwa kiwango nilichoweka?
Je, nikipandisha kwa kila elfu 10 izae buku kila siku nitakosea?
Note: Mteja wangu ni mama ntilie
Mimi ni Dalali wa Viwanja Magari Nyumba & Co. Kuna pesa huwa naipata gjafla kutokana na shughuli zangu za u middle Nimeamua kuanza kukopesha.
Watu ninaoanza nao ni waaminifu sana nawafahamu. Kwa kuanza tu nimeamua kuwapa mkopo wa masharti haya:
- Kwa kila shilingi elfu 10, irejeshe Sh 500 kila siku.
- Mkopo utakaa siku 14.
Je, nipo sahihi au najiumiza kwa kiwango nilichoweka?
Je, nikipandisha kwa kila elfu 10 izae buku kila siku nitakosea?
Note: Mteja wangu ni mama ntilie