Unjubinunuk
Member
- Mar 14, 2023
- 10
- 22
Habari zenu wadau,
Mtaji wangu ni milioni 3-4, naombeni ushauri wa biashara ya kuweza kuniingizia kiasi cha kuanzia elfu 30 mpaka elfu 50 kwa siku. Nina miaka 30, nipo Dar, jinsia Wa kiume.
Natanguliza shukrani, karibuni kwa ushauri/maoni.
Mtaji wangu ni milioni 3-4, naombeni ushauri wa biashara ya kuweza kuniingizia kiasi cha kuanzia elfu 30 mpaka elfu 50 kwa siku. Nina miaka 30, nipo Dar, jinsia Wa kiume.
Natanguliza shukrani, karibuni kwa ushauri/maoni.