Software ya kuendesha biashara ya kukopesha pesa (Micro-credit system)

akroatis

Member
Sep 18, 2017
34
27
Habari, mimi ni kijana ninaye jihusisha na kuunda software mbalimbali ikiwemo za simu(mobile apps) na webstite.
Katika kazi zangu zilizopita, nilipata fursa ya kufanya kazi katika kampuni ya kuunda software mablimbali, ikiwemo sotware ya micro-credit. Katika kufanya kazi kwangu, niliona changamoto mbalimbali zilizowakumba wateja wetu na sisi pia, kama:
  • Bei kubwa kulipia software (600,000-1,200,000)
  • Micro credit nyingi zina taratibu mbalimbali katika kuendesha biashara yao, hivyo tulihitaji kubadilisha mifumo ya software yetu kwa kila mteja
  • Wateja wetu walikuwa wana uelewa mdogo wa kutumia mifumo ya kompyuta, baadhi waliitaji mifumo ili kukidhi mahitaji ya serikali tu. Ki uhalisia, waliendelea kutumia excel au madaftari.
  • Wateja wetu wengi hawafuati utaratibu wa serikali katika kuendesha biashara yao
  • nk
Katika kampuni niliyofanyia kazi, software zetu zilikuwa zina kidhi mahitaji muhimu, ila hazikwenda na wakati, software zilitumika kwenye kompyuta pekee, zilikuwa na ugumu kidogo kwa mtu asiye na uelewa mkubwa wa kompyuta (wateja wetu wote walihitaji mafunzo), wakopeshwa walikuwa hawawezi kupata taarifa mpaka wafike ofisini au wapige simu, na pia zilihitaji internet muda wote wa matumizi.

Muda huu sasa nina wazo la kuunda software yangu ya Micro credit, kwa kutumia uzoefu wangu wa zamani, na ushauri kutoka kwenu wenye uzoefu wa biashara hii. Nikianza mwezi huu kuiunda, toleo la kwanza nadhani nitalikamilisha mwanzoni mwa mwaka 2024. Ila nahitaji kujua kwanza kama watu wana uhitaji wa hii software, kabla sija anza.

Software ninayotaka kuunda, nataka iwe na features kama hizi:
  • Iwe ina uwezo wa kutumika katika karibia compyuta zote na smartphone
  • Wakopeshwa nao pia wawe na uwezo wa kuitumia software hii kuangalia taarifa zao za mikopo
  • Iwe na uwezo wa malipo ya simu (wakopeshwa wawe wanaweza kulipa bila kufika ofisini)
  • Iwe inafuata taratibu za kiserikali katika kuendesha biashara, na kutoa ripoti za ofisi
  • Internet isiwe lazima muda wote kwa software kufanya kazi
  • Iwe nyepesi kutumia kwa mtu yoyote
  • Features nyingine naweza kupokea ushauri kutoka kwenu na watu wengine.

Lengo langu kuu, ni kujipatia kipato katika software hii, lakini sitaki iwe na bei kubwa sana, nataka hata mtu anayeanza biashara ya kukopesha kwa mtaji mdogo awe na uwezo wa kuilipia. Lengo jingine ni kuwasaidia watu, hasa katika nchi zetu zinazoendelea ambapo watu wengi wanashindwa kutumia mifumo ya kisasa kwa sababu ya gharama kubwa. Pia kuunda software ni kazi nayo ipenda hata kama hainilipi (nina application kadhaa ambazo ni za bure kabisa kutumia ambazo zinalenga watu wenye biashara ndogondogo).

Naombeni ushauri wenu, niiunde software hii? au utakuwa ni upotezaji wa muda?

Naomba pia kama una muda, nisaidie kujaza hii survey
Asanteni sana (na samahani kwa kiswanglish kibovu).
 
Hiyo ndo changamoto kubwa niliyoiona, kampuni nyingi bei zake ni kubwa sana kwa biashara ndogo na zinazoanza

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kama una uzoefu kwenye hii sekta unashindwaje kujua soko lake? Umefanya kazi kwenye field muda wote halafu hali ya soko lake hujui? Basi inawezekana hata ku-code usiwe competent enough!
 
Habari, mimi ni kijana ninaye jihusisha na kuunda software mbalimbali ikiwemo za simu(mobile apps) na webstite.
Katika kazi zangu zilizopita, nilipata fursa ya kufanya kazi katika kampuni ya kuunda software mablimbali, ikiwemo sotware ya micro-credit. Katika kufanya kazi kwangu, niliona changamoto mbalimbali zilizowakumba wateja wetu na sisi pia, kama:
  • Bei kubwa kulipia software (600,000-1,200,000)
  • Micro credit nyingi zina taratibu mbalimbali katika kuendesha biashara yao, hivyo tulihitaji kubadilisha mifumo ya software yetu kwa kila mteja
  • Wateja wetu walikuwa wana uelewa mdogo wa kutumia mifumo ya kompyuta, baadhi waliitaji mifumo ili kukidhi mahitaji ya serikali tu. Ki uhalisia, waliendelea kutumia excel au madaftari.
  • Wateja wetu wengi hawafuati utaratibu wa serikali katika kuendesha biashara yao
  • nk
Katika kampuni niliyofanyia kazi, software zetu zilikuwa zina kidhi mahitaji muhimu, ila hazikwenda na wakati, software zilitumika kwenye kompyuta pekee, zilikuwa na ugumu kidogo kwa mtu asiye na uelewa mkubwa wa kompyuta (wateja wetu wote walihitaji mafunzo), wakopeshwa walikuwa hawawezi kupata taarifa mpaka wafike ofisini au wapige simu, na pia zilihitaji internet muda wote wa matumizi.

Muda huu sasa nina wazo la kuunda software yangu ya Micro credit, kwa kutumia uzoefu wangu wa zamani, na ushauri kutoka kwenu wenye uzoefu wa biashara hii. Nikianza mwezi huu kuiunda, toleo la kwanza nadhani nitalikamilisha mwanzoni mwa mwaka 2024. Ila nahitaji kujua kwanza kama watu wana uhitaji wa hii software, kabla sija anza.

Software ninayotaka kuunda, nataka iwe na features kama hizi:
  • Iwe ina uwezo wa kutumika katika karibia compyuta zote na smartphone
  • Wakopeshwa nao pia wawe na uwezo wa kuitumia software hii kuangalia taarifa zao za mikopo
  • Iwe na uwezo wa malipo ya simu (wakopeshwa wawe wanaweza kulipa bila kufika ofisini)
  • Iwe inafuata taratibu za kiserikali katika kuendesha biashara, na kutoa ripoti za ofisi
  • Internet isiwe lazima muda wote kwa software kufanya kazi
  • Iwe nyepesi kutumia kwa mtu yoyote
  • Features nyingine naweza kupokea ushauri kutoka kwenu na watu wengine.

Lengo langu kuu, ni kujipatia kipato katika software hii, lakini sitaki iwe na bei kubwa sana, nataka hata mtu anayeanza biashara ya kukopesha kwa mtaji mdogo awe na uwezo wa kuilipia. Lengo jingine ni kuwasaidia watu, hasa katika nchi zetu zinazoendelea ambapo watu wengi wanashindwa kutumia mifumo ya kisasa kwa sababu ya gharama kubwa. Pia kuunda software ni kazi nayo ipenda hata kama hainilipi (nina application kadhaa ambazo ni za bure kabisa kutumia ambazo zinalenga watu wenye biashara ndogondogo).

Naombeni ushauri wenu, niiunde software hii? au utakuwa ni upotezaji wa muda?

Naomba pia kama una muda, nisaidie kujaza hii survey
Asanteni sana (na samahani kwa kiswanglish kibovu).
Wazo zuri sana mleta mada

Ushauri wangu
1.Nenda sajili hili wazo lako
2.Andaa proof of concept
3.Andaa pia BRD as if we ndo mhitaji wa software
4.Ukiwa una portal for demonstration itapendeza zaidi - tungependa kuona prototype inafanyaje kazi
5.Kuna uhitaji mkubwa sana wa software za aina hiyo - jikite katika simplicity , ability ya kuintegrate na mifumo kama ya kibenki na ile simu
6. Most importantly mfumo wako uwezw kujitofautisha na akina Tigo nivushe, Mpawa, na system za Bank maana wakisense tu software yao ina compete na za kwao mizengwe itaanza
7. Cha mwisho kabisa muangalie yule Mtanzania wa kawaida kabisa maana ndio wengi lakini mifumo mingi imewsahau
 
Wazo zuri sana mleta mada

Ushauri wangu
1.Nenda sajili hili wazo lako
2.Andaa proof of concept
3.Andaa pia BRD as if we ndo mhitaji wa software
4.Ukiwa una portal for demonstration itapendeza zaidi - tungependa kuona prototype inafanyaje kazi
5.Kuna uhitaji mkubwa sana wa software za aina hiyo - jikite katika simplicity , ability ya kuintegrate na mifumo kama ya kibenki na ile simu
6. Most importantly mfumo wako uwezw kujitofautisha na akina Tigo nivushe, Mpawa, na system za Bank maana wakisense tu software yao ina compete na za kwao mizengwe itaanza
7. Cha mwisho kabisa muangalie yule Mtanzania wa kawaida kabisa maana ndio wengi lakini mifumo mingi imewsahau
Asante, ushauri wako ni mzuri sana, na nitaufanyia kazi

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Habari, mimi ni kijana ninaye jihusisha na kuunda software mbalimbali ikiwemo za simu(mobile apps) na webstite.
Katika kazi zangu zilizopita, nilipata fursa ya kufanya kazi katika kampuni ya kuunda software mablimbali, ikiwemo sotware ya micro-credit. Katika kufanya kazi kwangu, niliona changamoto mbalimbali zilizowakumba wateja wetu na sisi pia, kama:
  • Bei kubwa kulipia software (600,000-1,200,000)
  • Micro credit nyingi zina taratibu mbalimbali katika kuendesha biashara yao, hivyo tulihitaji kubadilisha mifumo ya software yetu kwa kila mteja
  • Wateja wetu walikuwa wana uelewa mdogo wa kutumia mifumo ya kompyuta, baadhi waliitaji mifumo ili kukidhi mahitaji ya serikali tu. Ki uhalisia, waliendelea kutumia excel au madaftari.
  • Wateja wetu wengi hawafuati utaratibu wa serikali katika kuendesha biashara yao
  • nk
Katika kampuni niliyofanyia kazi, software zetu zilikuwa zina kidhi mahitaji muhimu, ila hazikwenda na wakati, software zilitumika kwenye kompyuta pekee, zilikuwa na ugumu kidogo kwa mtu asiye na uelewa mkubwa wa kompyuta (wateja wetu wote walihitaji mafunzo), wakopeshwa walikuwa hawawezi kupata taarifa mpaka wafike ofisini au wapige simu, na pia zilihitaji internet muda wote wa matumizi.

Muda huu sasa nina wazo la kuunda software yangu ya Micro credit, kwa kutumia uzoefu wangu wa zamani, na ushauri kutoka kwenu wenye uzoefu wa biashara hii. Nikianza mwezi huu kuiunda, toleo la kwanza nadhani nitalikamilisha mwanzoni mwa mwaka 2024. Ila nahitaji kujua kwanza kama watu wana uhitaji wa hii software, kabla sija anza.

Software ninayotaka kuunda, nataka iwe na features kama hizi:
  • Iwe ina uwezo wa kutumika katika karibia compyuta zote na smartphone
  • Wakopeshwa nao pia wawe na uwezo wa kuitumia software hii kuangalia taarifa zao za mikopo
  • Iwe na uwezo wa malipo ya simu (wakopeshwa wawe wanaweza kulipa bila kufika ofisini)
  • Iwe inafuata taratibu za kiserikali katika kuendesha biashara, na kutoa ripoti za ofisi
  • Internet isiwe lazima muda wote kwa software kufanya kazi
  • Iwe nyepesi kutumia kwa mtu yoyote
  • Features nyingine naweza kupokea ushauri kutoka kwenu na watu wengine.

Lengo langu kuu, ni kujipatia kipato katika software hii, lakini sitaki iwe na bei kubwa sana, nataka hata mtu anayeanza biashara ya kukopesha kwa mtaji mdogo awe na uwezo wa kuilipia. Lengo jingine ni kuwasaidia watu, hasa katika nchi zetu zinazoendelea ambapo watu wengi wanashindwa kutumia mifumo ya kisasa kwa sababu ya gharama kubwa. Pia kuunda software ni kazi nayo ipenda hata kama hainilipi (nina application kadhaa ambazo ni za bure kabisa kutumia ambazo zinalenga watu wenye biashara ndogondogo).

Naombeni ushauri wenu, niiunde software hii? au utakuwa ni upotezaji wa muda?

Naomba pia kama una muda, nisaidie kujaza hii survey
Asanteni sana (na samahani kwa kiswanglish kibovu).
Usalama Usalama!!!
Kuna Computer Programs na Computer Softwares.
Ili Computer Program iitwe Software inatakiwa ikidhi vitu kadhaa.
Software zote kabla ya Kutengenezwa, muhusika utakiwa kuandaa Software requirements specification- hii ni kama Vile ramani ya Nyumba .Software requirements specification Ina components mbali mbali - kama hizi:

Quality characteristics of a good Software Requirements Specification (SRS) document include:​

  1. Complete: The SRS should include all the requirements for the software system, including both functional and non-functional requirements.
  2. Consistent: The SRS should be consistent in its use of terminology and formatting, and should be free of contradictions.
  3. Unambiguous: The SRS should be clear and specific, and should avoid using vague or imprecise language.
  4. Traceable: The SRS should be traceable to other documents and artifacts, such as use cases and user stories, to ensure that all requirements are being met.
  5. Verifiable: The SRS should be verifiable, which means that the requirements can be tested and validated to ensure that they are being met.
  6. Modifiable: The SRS should be modifiable, so that it can be updated and changed as the software development process progresses.
  7. Prioritized: The SRS should prioritize requirements, so that the most important requirements are addressed first.
  8. Testable: The SRS should be written in a way that allows the requirements to be tested and validated.
  9. High-level and low-level: The SRS should provide both high-level requirements (such as overall system objectives) and low-level requirements (such as detailed functional requirements).
  10. Relevant: The SRS should be relevant to the software system that is being developed, and should not include unnecessary or irrelevant information.
  11. Human-readable: The SRS should be written in a way that is easy for non-technical stakeholders to understand and review.
  12. Aligned with business goals: The SRS should be aligned with the overall business goals and objectives of the organization, so that the software system meets the needs of the business.
  13. Agile methodologies: Agile methodologies, such as Scrum and Kanban, provide an iterative approach to requirements capturing and validation, where requirements are captured and validated in small chunks of functionality and feedback is gathered from the customer.
Si kukatishi Tamaa- ila kama mdau na mtu naedeal na hizi Software na other IT rerated issues . Mtu mmoja kutengeneza Software ni ngumu kidogo- ila Computer Program sawa.
Software za Finance hususani Microfinance inatakiwa umakini wa hali ya juu ikiwemo Usalama wa mfumo wenyewe kwani ni jamii ya Core Banking Software(mfumo kamili wa Kibenk) na hapa Tanzania mfumo unatakiwa utoe reports zinazotakiwa na Bank of Tanzania. (Report format na requirements zake pia sio raisi hivyo )Pia kuna kulink na Mobile money (kumwezesha mtu kutumia simu kulipa deni au kutoa pesa popote-au Bank Switch hapa tena kuna Security protocol za Kufuata mfano EMV(Visa/Master card). Pia mtaji wake sio kidogo unatakiwa kuwa na pesa kwani Certification inafanywa na Special Companies and you have to pay- ila kila la kheri soko lipo ila wengi wanaishia Njiani.
Kuna changamoto pia Kwenye Saccos- tayari kuna Majamaa walijifanya mabigwa wa kutengeneza Software za Saccos- wakapewa mahela (zaidi ya TZs200Millions+) sasa hivi nnavyoandika hapa anaishi kama Digidigi😂Simu ya moto- mbali na kutia Saccos hasara ya kuwafungia software kimeo- mfadhiri aliempa hela ajenge software anadai chake na hela kala.
Sasa hivi pia kuna majamaa wamepewa tena kazi ya kuunda mfumo wa Saccos utumike na Sacco za Tanzania! Kosa lile lile- yetu macho lets wait and see.
 
Usalama Usalama!!!
Kuna Computer Programs na Computer Softwares.
Ili Computer Program iitwe Software inatakiwa ikidhi vitu kadhaa.
Software zote kabla ya Kutengenezwa, muhusika utakiwa kuandaa Software requirements specification- hii ni kama Vile ramani ya Nyumba .Software requirements specification Ina components mbali mbali - kama hizi:

Quality characteristics of a good Software Requirements Specification (SRS) document include:​

  1. Complete: The SRS should include all the requirements for the software system, including both functional and non-functional requirements.
  2. Consistent: The SRS should be consistent in its use of terminology and formatting, and should be free of contradictions.
  3. Unambiguous: The SRS should be clear and specific, and should avoid using vague or imprecise language.
  4. Traceable: The SRS should be traceable to other documents and artifacts, such as use cases and user stories, to ensure that all requirements are being met.
  5. Verifiable: The SRS should be verifiable, which means that the requirements can be tested and validated to ensure that they are being met.
  6. Modifiable: The SRS should be modifiable, so that it can be updated and changed as the software development process progresses.
  7. Prioritized: The SRS should prioritize requirements, so that the most important requirements are addressed first.
  8. Testable: The SRS should be written in a way that allows the requirements to be tested and validated.
  9. High-level and low-level: The SRS should provide both high-level requirements (such as overall system objectives) and low-level requirements (such as detailed functional requirements).
  10. Relevant: The SRS should be relevant to the software system that is being developed, and should not include unnecessary or irrelevant information.
  11. Human-readable: The SRS should be written in a way that is easy for non-technical stakeholders to understand and review.
  12. Aligned with business goals: The SRS should be aligned with the overall business goals and objectives of the organization, so that the software system meets the needs of the business.
  13. Agile methodologies: Agile methodologies, such as Scrum and Kanban, provide an iterative approach to requirements capturing and validation, where requirements are captured and validated in small chunks of functionality and feedback is gathered from the customer.
Si kukatishi Tamaa- ila kama mdau na mtu naedeal na hizi Software na other IT rerated issues . Mtu mmoja kutengeneza Software ni ngumu kidogo- ila Computer Program sawa.
Software za Finance hususani Microfinance inatakiwa umakini wa hali ya juu ikiwemo Usalama wa mfumo wenyewe kwani ni jamii ya Core Banking Software(mfumo kamili wa Kibenk) na hapa Tanzania mfumo unatakiwa utoe reports zinazotakiwa na Bank of Tanzania. (Report format na requirements zake pia sio raisi hivyo )Pia kuna kulink na Mobile money (kumwezesha mtu kutumia simu kulipa deni au kutoa pesa popote-au Bank Switch hapa tena kuna Security protocol za Kufuata mfano EMV(Visa/Master card). Pia mtaji wake sio kidogo unatakiwa kuwa na pesa kwani Certification inafanywa na Special Companies and you have to pay- ila kila la kheri soko lipo ila wengi wanaishia Njiani.
Kuna changamoto pia Kwenye Saccos- tayari kuna Majamaa walijifanya mabigwa wa kutengeneza Software za Saccos- wakapewa mahela (zaidi ya TZs200Millions+) sasa hivi nnavyoandika hapa anaishi kama DigidigiSimu ya moto- mbali na kutia Saccos hasara ya kuwafungia software kimeo- mfadhiri aliempa hela ajenge software anadai chake na hela kala.
Sasa hivi pia kuna majamaa wamepewa tena kazi ya kuunda mfumo wa Saccos utumike na Sacco za Tanzania! Kosa lile lile- yetu macho lets wait and see.
Nimekuelewa mkuu, ni kweli kuunda software mtu mmoja huwa ni shughuli kubwa na ya kuchosha, ila mimi binasfi nimeshajiwekea ka uzoefu kidogo.

Kuhusu reports, pia nimeshazipitia sana, maana kipindi cha nyuma nilipokuwa naanza kazi yangu, ilibidi nipate shule kidogo kuhusu ripoti zote muhimu za mikopo

Changamoto kubwa ninayoiona ni mobile payment, hii ki ukweli ninaweza kuachana nayo, ili kupunguza risk ya software yangu na watumiaji

Ila lengo langu kuu, si kuunda software ambayo itafanya kila kitu katika micro credit, hiyo kwa mtu mmoja siwezi, ila nataka kuunda software ambayo ita replace daftari, kalamu pamoja na calculator ofisi.
Maana yake, wateja badala ya kuandikwa kwenye daftari, watakuwa wanaingizwa kwenye software. Calculation zote ambazo zitafanywa ofisini, software iwe inazifanya yenyewe. Ripoti zinazoandaliwa kwa daftari, software izifanye automatically. Pia wateja wawe na uwezo wa kuona taarifa zao kirahisi, wajue madeni yao, siku ya kulipa, nk.

Najua kuna software kubwa za kulipia ambazo hufanya vitu vyote hivi pamoja na ziada. Ila ki uhalisia, microcredit ndogo nyingi za nchi zetu huwa hawazitumii hata kama wakipewa bure, kwa sababu zina vitu vingi na process kubwa, na zinahitaji wafanyakazi wengi ofisini ili ziweze kufanya kazi ipasavyo. Mimi nataka kutengeneza kitu chepesi na ambacho kinafanya function za muhimu tu, pia kiwe na uwepesi kutumia hata kwenye smartphone kwa watu wachache ofisini

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nimekuelewa mkuu, ni kweli kuunda software mtu mmoja huwa ni shughuli kubwa na ya kuchosha, ila mimi binasfi nimeshajiwekea ka uzoefu kidogo.

Kuhusu reports, pia nimeshazipitia sana, maana kipindi cha nyuma nilipokuwa naanza kazi yangu, ilibidi nipate shule kidogo kuhusu ripoti zote muhimu za mikopo

Changamoto kubwa ninayoiona ni mobile payment, hii ki ukweli ninaweza kuachana nayo, ili kupunguza risk ya software yangu na watumiaji

Ila lengo langu kuu, si kuunda software ambayo itafanya kila kitu katika micro credit, hiyo kwa mtu mmoja siwezi, ila nataka kuunda software ambayo ita replace daftari, kalamu pamoja na calculator ofisi.
Maana yake, wateja badala ya kuandikwa kwenye daftari, watakuwa wanaingizwa kwenye software. Calculation zote ambazo zitafanywa ofisini, software iwe inazifanya yenyewe. Ripoti zinazoandaliwa kwa daftari, software izifanye automatically. Pia wateja wawe na uwezo wa kuona taarifa zao kirahisi, wajue madeni yao, siku ya kulipa, nk.

Najua kuna software kubwa za kulipia ambazo hufanya vitu vyote hivi pamoja na ziada. Ila ki uhalisia, microcredit ndogo nyingi za nchi zetu huwa hawazitumii hata kama wakipewa bure, kwa sababu zina vitu vingi na process kubwa, na zinahitaji wafanyakazi wengi ofisini ili ziweze kufanya kazi ipasavyo. Mimi nataka kutengeneza kitu chepesi na ambacho kinafanya function za muhimu tu, pia kiwe na uwepesi kutumia hata kwenye smartphone kwa watu wachache ofisini

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Uwezi kuwa na software ambayo inafanya part of tasks na zingine azifanya- Ufanisi wa Taasisi unaendana na ku automate All tasks- ukifanya kazi nusu kwenye Computer nusu manual hapo unaleta changamoto na mzigo mkubwa wa kazi na aitopendeze. Jiulize Microfinance kama Finca kwa siku ina process mikopo laki 2. Itakuwaje kama wanafanya nusu ya process kwenye Computer na Nusu kwenye Vitabu??kwa sasa Mobile money ni part ya life ya kila mtu hasa Africa.Utaandaaje Software ya Kibenk bila huduma kama hii??
 
Uwezi kuwa na software ambayo inafanya part of tasks na zingine azifanya- Ufanisi wa Taasisi unaendana na ku automate All tasks- ukifanya kazi nusu kwenye Computer nusu manual hapo unaleta changamoto na mzigo mkubwa wa kazi na aitopendeze. Jiulize Microfinance kama Finca kwa siku ina process mikopo laki 2. Itakuwaje kama wanafanya nusu ya process kwenye Computer na Nusu kwenye Vitabu??kwa sasa Mobile money ni part ya life ya kila mtu hasa Africa.Utaandaaje Software ya Kibenk bila huduma kama hii??
Lengo langu sio kutengeneza software ya kuendesha taasisi kubwa kama Finca, hao wanafaa software kubwa ambayo inashughulikiwa na developers zaidi ya 10.
Mimi lengo langu ni kutengeneza software kwa biashara ndogo na zinazoanza, walengwa wangu ni wale wanaotumia daftari au excel, ambao unakuta muda mwingine wana laptop moja tu ofisini . Hao ndio walengwa wangu.

Kuhusu nusu kazi kufanywa na software, nyingine na binadamu, hiyo haiwezi kuepukika, lazima tu kunakuwa na human inputs, kila kitu hakiweki kuwa automated, mimi najaribu kupunguza tu baadhi ya kazi atakayo ifanya binadamu. Labda baadae nitaweza kupunguza hiyo kazi zaidi, lakini kwa sasa, ningependa kuanza na vitu vya muhimu tu

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Tough call, but it's possible. Ulichokiwaza wewe ndiyo nilichokiwaza mimi
 
Back
Top Bottom