Naomba ushauri kuhusu biashara ya kukopesha

Msukusu

Senior Member
Jun 28, 2022
165
346
Wadau Habari Za Muda Huu. Natumaini Nyote Wazima Wa Afya. Nahitaji Ushauri Nilikuwa Nina Wazo La Kufanya Biashara Ya Kukopesha Watu Fedha Kwa Kwa Riba Ya 20% Kwa Wafanyakazi tu na Sio Wafanyabiashara.

Je, nitafanikiwa?
 
Sawa unakopesha wafanyakazi, Mkopo anakuwa anakatwa moja kwa moja Benki au? Ama wakipokea mishahara wanakuletea mkononi?
 
Wadau Habari Za Muda Huu. Natumaini Nyote Wazima Wa Afya. Nahitaji Ushauri Nilikuwa Nina Wazo La Kufanya Biashara Ya Kukopesha Watu Fedha Kwa Kwa Riba Ya 20% Kwa Wafanyakazi tu na Sio Wafanyabiashara.

Je, nitafanikiwa?
Nimekupm mkuu tuongee mkuu
 
Back
Top Bottom