Naomba ushauri wa biashara

Jbst

JF-Expert Member
Nov 29, 2020
1,921
3,947
Kwema wana jamvi? Kama kichwa cha mada kinavojieleza naomba ushauri wa buashara kwa mtaji wa Mil 10.

Kuna biashara nilikua nafanya,nilikua napata faida nzuti na mtaji kukua sana ila baadae ikawa inakata tu hela.

Nimejitahidi sana kukaza naona pesa inazidi kukata kwahyo nimeamua kuacha kabisa nifikirie biashara mpya nahisi hiyo biashara imeamua kunikataa tu.

Je, ni biashara gani nzuri naweza kufanya kwa mtaji wa 10MIL ?ila tu isiwe biashara ya bodaboda, biashara ya miamala (uwakala), au kununua chombo cha moto kufanyia biashara.

Wale watu wa masihara, kejeli na wengineo wa aina hiyo tafadhali unaweza kupotezea bila kuchangia chochote ili tusiharibiane siku

Ushauri wako ni muhimu
 
Kama unaweza tafuta farm plot hata ekari 2 au Tatu fuga mbuzi za kisasa cross breed
Kama utapata Boer au Kalahari na kondoo wakubwa
Hapo utajiongeza taratibu kwa kuweka kuku, na hata majani kwa ajili ya mifugo na taratibu utachimba bwawa kwa ajili ya samaki

Biashara hii inakuwa polepole kulingana na wewe mwenyewe ila ni endelevu

Tafuta mganga wa mifugo kama partner wako au mlipe hela nzuri na awe na ukaribu nao sana kama ndugu zake

Kwa 10m unaweza kuanza vizuri tu
Ila kama unawaza 10m izae 10m kwa mwezi watakushauri wa betting
 
Kama unaweza tafuta farm plot hata ekari 2 au Tatu fuga mbuzi za kisasa cross breed
Kama utapata Boer au Kalahari na kondoo wakubwa
Hapo utajiongeza taratibu kwa kuweka kuku, na hata majani kwa ajili ya mifugo na taratibu utachimba bwawa kwa ajili ya samaki

Biashara hii inakuwa polepole kulingana na wewe mwenyewe ila ni endelevu

Tafuta mganga wa mifugo kama partner wako au mlipe hela nzuri na awe na ukaribu nao sana kama ndugu zake

Kwa 10m unaweza kuanza vizuri tu
Ila kama unawaza 10m izae 10m kwa mwezi watakushauri wa betting
Je unauzoefu wa biashara hiyo mkuu?
 
Nywea bear hela ndogo sana hiyo aikupeleki popote
Sawa ni ndogo ila nimesema kama hauna ushauri au ww ni mtu wa kejeli kausha. kwann uje kunikwaza? Kwahyo unataka ni kutusi?
 
Kwema wana jamvi? Kama kichwa cha mada kinavojieleza naomba ushauri wa buashara kwa mtaji wa Mil 10.

Kuna biashara nilikua nafanya,nilikua napata faida nzuti na mtaji kukua sana ila baadae ikawa inakata tu hela.

Nimejitahidi sana kukaza naona pesa inazidi kukata kwahyo nimeamua kuacha kabisa nifikirie biashara mpya nahisi hiyo biashara imeamua kunikataa tu.

Je, ni biashara gani nzuri naweza kufanya kwa mtaji wa 10MIL ?ila tu isiwe biashara ya bodaboda, biashara ya miamala (uwakala), au kununua chombo cha moto kufanyia biashara.

Wale watu wa masihara, kejeli na wengineo wa aina hiyo tafadhali unaweza kupotezea bila kuchangia chochote ili tusiharibiane siku

Ushauri wako ni muhimu
Kama ujui biashara wala jambo la kufanya tuliza tu pesa utapata wazo huko mbeleni.endelea na kazi zengine ambazo zimekufikishia hiyo pesa
 
Nachokupongeza hukati tamaa
Je mtaan kwako Kuna changamoto gani?
Hiyo ndio itakuwa fûrsa au kwenye maeneo unayopita kila siku Kuna changamoto gani hiyo ndio fûrsa

Nitakushauri mbili

1:Tafuta eneo zuri lenye wafugaji wanaofuga kiSasa fungua duka la vyakula vya mifugo
2; fungua store ya kuuza nafaka
Endesha kiSasa zaidi


Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Kama unaweza tafuta farm plot hata ekari 2 au Tatu fuga mbuzi za kisasa cross breed
Kama utapata Boer au Kalahari na kondoo wakubwa
Hapo utajiongeza taratibu kwa kuweka kuku, na hata majani kwa ajili ya mifugo na taratibu utachimba bwawa kwa ajili ya samaki

Biashara hii inakuwa polepole kulingana na wewe mwenyewe ila ni endelevu

Tafuta mganga wa mifugo kama partner wako au mlipe hela nzuri na awe na ukaribu nao sana kama ndugu zake

Kwa 10m unaweza kuanza vizuri tu
Ila kama unawaza 10m izae 10m kwa mwezi watakushauri wa betting
Hii nimeichukua!

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Mjini dsm, Fungua duka la nguo, chagua,
Tshirt au za kike au magauni ya kina mama. Piga kazi,
Sinza kinondoni, masaki, au nenda kabisa kkoo.
Kula hela yako kama unakula kuku kwenye mrija.
Kazi njema
 
Write your reply...jaribu kufuatilia gharama za vibari vya kupeleka mkaa nje ya nchi,soko kubwa ni nchi za uarabuni uwa wanapeki kg 20 na uwa wanaanzia kontena mbili za 40 ft.
 
Back
Top Bottom