Nimeangalia takwimu za matokeo kidato cha sita, somo la physics hali ni tete. Shida iko wapi?

Idrissou02

JF-Expert Member
Jul 31, 2018
354
643
Somo la Physics, somo la Physics.

Je, Tz hatuna walimu wabobezi kwenye hili somo amaa ni somo gumu sana?

Nakumbuka mimi pia nlivyokua nafanya mtihani wa physics, kidato cha sita, niliteseka sana kwa kukutana na maswali ambayo sikujua hata nianzie wapi kusolve.

Bado namkumbuka mwalimu wangu ambae alikua anatumia lisaa lizima kusolve swali moja ubaoni, sembuse mwanafunzi mwenye maswali matano ndani ya masaa matatu.

Mna maoni gani juu ya somo hili wadau
 
Physics ni kisanga hasa A-level,watu wengi wanaikimbia,hivyo kunakua na uhaba wa watu wanaosomea ualimu wa somo husika na hivyo kupelekea walimu kua wachache,at the end of the day,wanafunzi wanaobahatika kulifaulu hilo somo kwenda A-level,wanakumbana na ukosefu wa walimu competent,hence kupelekea Matokeo mabovu.
 
km ingekua kipindi cha kufaulu hili somo basi ni kipindi hiki, kuna mifano mingi sn ya soma ya physics, mfano wafungaji wengi wa magoli mpira wa miguu wanatumia sana projection which is part of physics, light za barabarani, simu, hata games zao wanazochezea majumbani kuna maths and physics kwa wingi, shida ni kua wanaowazunguka ndio wamejaa ambao sio watu wa science or kujua hilo somo kabisa. they do things without knowing nini wanachofanya.

In short muongozo wa mazingira wanayotumia muda mwingi hawana muongozo wa hilo somo, kingine walimu wa zamani walikua wapo vizuri sana kwenye practicals kuliko theory, wale waliopata GPA kubwa ndio wanaopelekwa ikiwa practicals hawajui, mimi nifikia waalimu toka vyuo km DIT, veta,au hata watu waliopo kwenye field inayoendana na physics wangepelekwa hasa kwenye vipindi vya practicals kwenye shule mbali mbali at least ingesaidia.
 
Physics ni kisanga hasa A-level,watu wengi wanaikimbia,hivyo kunakua na uhaba wa watu wanaosomea ualimu wa somo husika na hivyo kupelekea walimu kua wachache,at the end of the day,wanafunzi wanaobahatika kulifaulu hilo somo kwenda A-level,wanakumbana na ukosefu wa walimu competent,hence kupelekea Matokeo mabovu.
Pale Tabora boys nimeona matokeo yao kuna vijana zaidi ya 50 PCB wana 1 ya 3, hao wana someshwa na waalimu gani? Some time metokeo ya Necta yako selective na un predictable msishangae tena mwakani somo la biology kua gumu kuliko physics au Math.
 
Pale Tabora boys nimeona matokeo yao kuna vijana zaidi ya 50 PCB wana 1 ya 3, hao wana someshwa na waalimu gani? Some time metokeo ya Necta yako selective na un predictable msishangae tena mwakani somo la biology kua gumu kuliko physics au Math.
Kunaweza kukawa factor nyingine zaidi zinazochangia, lakini walimu nao wakutoa muongozo,ni muhimu,kama ni wachache, lazima impact yake ionekane some years to some students.

Hata hivyo huwezi kufananisha Biology na Physics au Chemistry, Physics inasemekana ni level nyingine,ulizua wanaokutana nayo A-level.
 
Pale Tabora boys nimeona matokeo yao kuna vijana zaidi ya 50 PCB wana 1 ya 3, hao wana someshwa na waalimu gani? Some time metokeo ya Necta yako selective na un predictable msishangae tena mwakani somo la biology kua gumu kuliko physics au Math.
Physics ni ngumu ila ufaulu kama huo japo hiyo ni shule tunayoiamini kuwa ni shule bora, lazima kutakuwa na walakini. Physics imerahisishwa sana siku hizi. Sijui ubora wake bado ni ule ule.

Mwaka 2013, kulikuwa na C pekee ambayo ilikuwa marks kubwa kitaifa. Hiyo ndio ilikuwa Physics kwenye uhalisia wake.
 
Boys nimewacheki waliandikishwa 156 waliofanya pepa Ni 155. Kati ya hao hgxx wapo 27 waliobakia 155-27=128 Ni PCM n pcb Sasa hapo a za fizikia zipo 52, na Ilo somo kitaifa Ni wa kwanza, advance math pia Kama sio wa kwanza Ni wa pili pamoja na bam wameongoza.

Halafu wote Wana division wani Kuna mmoja akapata two yaani huyu atakuwa alisahau kidogo tu jamani akapata somo fulani B badala ya A so akaangukia two ya mwanzoni kabisa ingawa sijaiona.

Ila haya Mambo ndio nikicheki baadaye nawachora wanaodhani kuwa kuvuta sigara ya kitajiri nayeye ataonekana tajiri. Hatujakataa matajiri kuvuta sigara ghali sema usilazimishe na wewe kuonekana tajiri UtAumia.
 
Physics ni ngumu ila ufaulu kama huo japo hiyo ni shule tunayoiamini kuwa ni shule bora, lazima kutakuwa na walakini. Physics imerahisishwa sana siku hizi. Sijui ubora wake bado ni ule ule.

Mwaka 2013, kulikuwa na C pekee ambayo ilikuwa marks kubwa kitaifa. Hiyo ndio ilikuwa Physics kwenye uhalisia wake.
Unajuaje mwaka huo labda mlikuwa vilaza wote labda huyo wa c.
Physics Ni tamu ukiielewa sema ukikariri utaumia
 
Screenshot_20220706-095601.png

Halafu huyu wa two ni kilaza mmoja wa hkunani ameharibu mkeka
Screenshot_20220706-095601.png
 
Back
Top Bottom