Nimeamua kuwa Atheist

Nimeamua kuwa Atheist

Sadaka toa kile kinachouma, toa kwenye mfuko wako tukajimalize tukose mpaka nauli turudi na miguu (Kawe to Buguruni Kwa mguu kisa eti nataka Baraka nijimakize Hela zote Kwa Mwamposa 🤣🤣🤣🤣🤣🙏🙌
Huo ni utahira sasa! Na hiyo haihusiani na ukristo wa kweli! Kumbe mwamposa ndio anawatoa jasho hivi mpaka mnatukana waumini wote😅
 
Kutoka nnje ya box na huku kuna vitisho vya moto× ahadi ya mbinguni sio jambo dogo inahitajika akili yenye utulivu mno
Vitisho vya moto! basi wenye kuamini Mungu wasingekuwa walevi ,wazinzi,washirikina,wauwaji n.k maana wangeogopa vitisho vya moto sasa sijajua kwanini mkuu umeona kuacha kuamini Mungu tu ndio aogope vitisho vya moto?
 
Sawa mjinga mwenzangu

Ukisema mtu ni mjinga ni mujimu kuelezea ujinga wake uko wapi, kwa nini ni mjinga, hata akitaka kuuondoa ujinga huo aweze.

Kusema tu wewe mjinga, ni ujinga nao, kwa anayesema.

Ujinga si tatizo kila mtu ana ujinga fulani, ujinga ni sehemu ya kuwa mtu, tatizo usipojua ujinga wako.

Wewe hata ukioneshwa huu ndio ujinga wako hukubali.

Unakuwa defensive, unakuwa emotional, unasema watu wana hasira.
 
Vitisho vya moto! basi wenye kuamini Mungu wasingekuwa walevi ,wazinzi,washirikina,wauwaji n.k maana wangeogopa vitisho vya moto sasa sijajua kwanini mkuu umeona kuacha kuamini Mungu tu ndio aogope vitisho vya moto?
Shangaa nawew! Wakati tunapanda nao juu ya meza na bado tunaamini uwepo wa Mungu! Oct29 tumepigwa nao vyuma na bado hatujaacha kuamini😊
 
Kila mtu aamini anachokiamini,anayeamini Mungu yupo aishi kwa kumuamini Mungu na asiyeamini uwepo wa Mungu nae aishi maisha aliyo yachagua,

Hua sioni mantiki yeyote ile ya watu kubishana kuhusu uwepo wa Mungu au kutokuwepo, coz haya mabishano hayatokuja kua na mwisho wala kupata mshindi au mshindwa,

Kuna watu humu JF miaka na miaka wapo kwenye haya mabishano ya uwepo wa Mungu au kutokuwepo kwa Mungu,

Kwanini utumie nguvu na muda wako kubishana au kujadili hii issue? Wewe amini unachokiamini kisha piga kimya,

Hakuna haja ya kupangiana namna ya kuishi hasa kwenye mambo ya kiimani,

Sijaona hata mantiki ya mleta mada kuutangazia umma kuhusu uamuzi wake,

Kila mtu afuate anachokiona ni sawa kwake,tukutane mwisho wa safari kwa wenye kuamini.
 
Vitisho vya moto! basi wenye kuamini Mungu wasingekuwa walevi ,wazinzi,washirikina,wauwaji n.k maana wangeogopa vitisho vya moto sasa sijajua kwanini mkuu umeona kuacha kuamini Mungu tu ndio aogope vitisho vya moto?
Umejitungia mambo yako bila kuelewa hoja yangu
 
Kila mtu aamini anachokiamini,anayeamini Mungu yupo aishi kwa kumuamini Mungu na asiyeamini uwepo wa Mungu nae aishi maisha aliyo yachagua,

Hua sioni mantiki yeyote ile ya watu kubishana kuhusu uwepo wa Mungu au kutokuwepo, coz haya mabishano hayatokuja kua na mwisho wala kupata mshindi au mshindwa,

Kuna watu humu JF miaka na miaka wapo kwenye haya mabishano ya uwepo wa Mungu au kutokuwepo kwa Mungu,

Kwanini utumie nguvu na muda wako kubishana au kujadili hii issue? Wewe amini unachokiamini kisha piga kimya,

Hakuna haja ya kupangiana namna ya kuishi hasa kwenye mambo ya kiimani,

Sijaona hata mantiki ya mleta mada kuutangazia umma kuhusu uamuzi wake,

Kila mtu afuate anachokiona ni sawa kwake,tukutane mwisho wa safari kwa wenye kuamini.
Huwa nawakubali Sana wachina au wahindu na dini zao , hawana sababu ya kumhubiria wala kumshawishi mtu afuate dini yao , hapa ndipo hoja huibuka kwa ambao hawataki kuaminishwa tu hasa kwenye hizi dini mbili.
 
Hivi haujawaji kujiuliza kuwa , ingetokea nini kama Uwepo wa Mungu ungethibitika kweli hasa kwenye imani?
Ila mkuu hii hoja ya uthibitisho kuwepo kwa Mungu ni atheists tu naona huileta hii hoja kama kutaka waonekane wao ndio wako sahihi ila kimsingi haikupaswa hata kuwa suala la kujadili. Kwa sababu msingi wa uwepo wa Mungu upo kwenye kuamini kuwepo kwake na ndio maana hata yale matendo(maamrisho) anayotenda mwenye kuamini huwa na malipo yake kwa sababu hamuoni huyo Mungu na hakuna uthibitisho ila kakubali kukubali kuwa yupo na anatekeleza maamrisho kwa imani.
 
Back
Top Bottom