Nimeamua kuwa Atheist

Nimeamua kuwa Atheist

Swali lako katika muktadha huu ni la kijinga. Halina maana.

Kwa sababu, kama oxygen ipo, na inaweza kuthibitishwa kuwa ipo.

Au kama oxygen haipo, na jaiwezi kuthibitishwa kwamba ipo.

Yote hayo hayathibitishi Mungu yupo.

Jibu lolote kuhusu oxygen halina maana katika mazungumzo haya.

Thibitisha Mungu yupo.
Nilijua tu ujinga ndio title kubwa leo!

Unataka Mungu aje kujitetea ila hitaki oxygen ije kujitetea, si tunaoongelea invisible things au! Wewe una amini oxygen ipo au kwa sababu sayansi imekuthibitishia hilo? Basi na mimi nasema Mungu yupo kwa sababu imani yangu imethibitisha hilo!
 
Nilijua tu ujinga ndio title kubwa leo!

Unataka Mungu aje kujitetea ila hitaki oxygen ije kujitetea, si tunaoongelea invisible things au! Wewe una amini oxygen ipo au kwa sababu sayansi imekuthibitishia hilo? Basi na mimi nasema Mungu yupo kwa sababu imani yangu imethibitisha hilo!
Wapi nimetaka Mungu aje kujitetea?

Wewe ni mjinga hata kusoma kwa ufahamu hujui.
 
Nimefanya tafiti yakinifu nimekuja kugundua Mungu hayupo. Ni story tu za kutupa matumaini hewa.

Nimeamua kuwa Atheist. Nitaupa muda nao ukizingua namrudia Yesu.

Dhulma, uonevu, usaliti na ukatili umetamalaki sana.

Bora kuamini nature na kuwa mwema kwa viumbe hai hata visivyonekana.

Ni maamuz yangu binafsi.
Viumbe visivyoonekana tena kama nini mapepo? Maana ulipoingia huko kuna list ya vitu hutakiwi kuviamini hiyo ni desturi yao.
 
Nijiulize kitu ambacho kimethathibika kwa waumini wengi nikiwemo mimi? Haya mambo sio dhahania, inakupasa kushiriki ili kuyaelewa! Tofauti na hapo utajiona uko sahihi sana!
Unaelewa maana ya kuthibitika kweli?

Kama ni hivyo yakawaje tena ni mambo ya imani?
 
Back
Top Bottom