chimei may
Member
- Feb 14, 2022
- 81
- 92
itabidi waamini tu mkuuYani mtafika mmechoka hamtaamini😂😂😂
itabidi waamini tu mkuuYani mtafika mmechoka hamtaamini😂😂😂
Kweli usilolijua ni Usiku wa giza.Mtoa post umesahau ule msemo wa "Simba mwenda kimya ndio mla nyama".Hao Binti za Kisabato ungejua Jinsi wanavyochakazwa kisiri Siri,usingethubutu kuandika hivi.Nimewahi suluhisha migogoro kadhaa ya jamaa zangu wa Kisabato wakilalamika wachumba zao kufyatuliwa na wapendwa wenzao , Nikiwa SUA kuna room mate Msabato alitaka kujinyonga baada ya kugundua kuwa mchumba wake wa Kisabato aliyempenda sana anafumuliwa na Wahuni wengine,japo kwa siri sana.Kwa hakika mapenzi yamekuwa kama biashara ,kuna mtu usipompa pesa anaona hapendwi na mwanaume asipopewa penzi anaona hapendwi,ila mimi sipo hivyo,hakika mabinti wanaotoka dhehebu la kisabato wana hofu ya mungu kwanza, hawana makuu ,hawana tamaa,nimepata binti wa kisabato ana kila sifa za kuitwa wife material natarajia ndo atakua mke wangu ndani ya miaka miwili
Hukuwa serious,Mimi nilipata demu wa Kisabato alikuwa anasoma Education UDSM,alinipenda sana, sema baadaye niliamua kuachana naye.Kuna msabato alinikataa et kisa tupo dhehebu tofauti.. wabaguzi sana hao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaye jamaa angu msabato mbaguzi na katili kishenzi..hiyo kwenda camp huko anawatomb*** kishenzi mademu kiufupi ni watu wenye misimamo ya kipuuzi na matendo ya hovyoHawa hawa wasabato ambao wanakwenda kuimba kwaya kanisani kila siku kurudi nyumbani saa 3 usiku na kwenda kwenye mikutano kila siku mbali na nyumbani wanakaa huko hata wiki mbili wanakwaya kila mtu na wake wanatokea gest wanakuja kwenye mkutano wanarudi gest wewe upo nyumbani unasema mke wanguanafanya uinjilist kwa njia ya kwaya kumbe mwalimu wa kwaya anamtafuna.
Yaani anategemea Nazi idonendekee kwenye appleKama na wewe ni mtakatifu kama huyo binti basi sawa! Lakini kama na wewe ni wale wale hapo kwa namna yoyote ile lazima huyo binti akuache ili upate galasa mwenzio muende sawa usije ukamtesa mtoto wa watu bure!
Iringa Adventist au kitungwa AdventistNatafuta shule nzuri ya wasichana ya Wasabato.
Peleka geita adventist secondary schoolNatafuta shule nzuri ya wasichana ya Wasabato.
Asante Sanaaaa.Volume iko sawa kabisa