GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,742
- 109,178
Hakuna Tsh Bilioni 20 za Mwekezaji Mo Dewji alizoweka Simba SC na kama kuna mwana Simba SC anajua atuambie ameweka Benki ipi na Akaunti gani.
Ninachojua ni kwamba Mo Dewji ( Mwekezaji ) wa Simba SC anadhamini Products zake bure kwa Mgongo wa Simba SC na kaamua pia kumvuta Dada yake karibu na Simba SC ili aratibu vizuri Upigaji na Wamefanikiwa kwa 75% kwani hivi sasa Klabu ya Simba inamfaidisha zaidi Kibiashara Mo Dewji kuliko yenyewe inavyofaidika na Mo Dewji.
Watendaji wa FCC, Baraza la Michezo ( BMT ) na Mamlaka ya Kodi 'walihongwa' ili Kukamilisha ule Usanii wa ile 'Dummy Cheque' ya Tsh Bilioni 20 Ili tu Mashabiki wa Simba SC ( Mambumbumbu FC Original ) tuaminishwe, tutulie na Samjo Samjo ( Mo Dewji ) aendelee 'Kutupiga' na 'Anatupiga' kweli kweli Mhindi huyu.
Si mmejifanya Kutudanganya wana Simba SC juu ya Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kunifanya Nikeshe leo kama Popo? Mtanitambua naendelea tu 'Kuwaanikeni' Alfajiri hii.
Ninachojua ni kwamba Mo Dewji ( Mwekezaji ) wa Simba SC anadhamini Products zake bure kwa Mgongo wa Simba SC na kaamua pia kumvuta Dada yake karibu na Simba SC ili aratibu vizuri Upigaji na Wamefanikiwa kwa 75% kwani hivi sasa Klabu ya Simba inamfaidisha zaidi Kibiashara Mo Dewji kuliko yenyewe inavyofaidika na Mo Dewji.
Watendaji wa FCC, Baraza la Michezo ( BMT ) na Mamlaka ya Kodi 'walihongwa' ili Kukamilisha ule Usanii wa ile 'Dummy Cheque' ya Tsh Bilioni 20 Ili tu Mashabiki wa Simba SC ( Mambumbumbu FC Original ) tuaminishwe, tutulie na Samjo Samjo ( Mo Dewji ) aendelee 'Kutupiga' na 'Anatupiga' kweli kweli Mhindi huyu.
Si mmejifanya Kutudanganya wana Simba SC juu ya Usajili wa Mshambuliaji ninayemhitaji zaidi Simba SC Manzoki na kunifanya Nikeshe leo kama Popo? Mtanitambua naendelea tu 'Kuwaanikeni' Alfajiri hii.