ceo

A chief executive officer (CEO), chief administrator, or just chief executive (CE), is one of a number of corporate executives in charge of managing an organization – especially an independent legal entity such as a company or nonprofit institution. CEOs find roles in a range of organizations, including public and private corporations, non-profit organizations and even some government organizations (notably Crown corporations). The CEO of a corporation or company typically reports to the board of directors and is charged with maximizing the value of the business, which may include maximizing the share price, market share, revenues or another element. In the non-profit and government sector, CEOs typically aim at achieving outcomes related to the organization's mission, such as reducing poverty, increasing literacy, etc.
In the 21st century, top executives typically have technical degrees in science, management, engineering or law.

View More On Wikipedia.org
  1. ngara23

    Nahitaji kukutana na Maxence Melo Mubyazi, CEO wa Jamii forums

    Moderators na wengineo naomba mnisaidie mawasiliano ya CEO wa Jamii forums Maxence Melo Mubyazi, mwana kwetu Nina mawazo na idea kadha wa kadha nataka nipate appointment nikae nae mezani tuone jinsi ya kusukuma hii idea yangu Kwa Sasa nipo Ngara mkoani Kagera ila kama atanihitaji kufika Dar...
  2. Mikopo Consultant

    Hata BOT wameweka ukomo wa miaka 10 kwa ma CEO wa mabenki, miaka 20 kwa Mbowe kuongoza chama ni mingi sana.

    Kwenye uongozi wa taasisi, iwe ni biashara au kampuni au taasisi ya aina yoyote, huwa kuna swali moja huwa tunapenda kuliuliza, ambalo ni: 'Matokeo yapo wapi?'. Hili ni swali la kikatili sana, kwasababu huwa halihitaji kujiteteta wala kulaumu watu wengine, lenyewe linataka uoneshe matokeo yapo...
  3. Dabil

    CEO wa Simba Uwayezu Francois Regis ateuliwa na Kagame kuwa katibu wizara ya michezo nchini Rwanda.

    Hii imekaaje,CEO Mrwanda aliyeletwa na Simba amekula shavu katika serikali ya Rais Kagame ameteuliwa kuwa katibu waziri wa michezo. Ikumbukwe hakupata vibali vya kazi tangu Simba imlete,naona serikali hapa iliona mbali.
  4. NguoYaSikuKuu

    Yupi CEO wako bora kuwahi kutokea Tanzania? Nchi masikini zinafeli wapi!?

    Hodi Jamvini, Nawasilisha mada hapo juu kuhusu dhana ya MaCEO's ambayo huku ipo lakini naona bado ipo duni sana. Kwenye suala la utendaji hatupimani kabisa kuhusu performances. Unakuta mtu ni mtendaji mkuu wa kuajiriwa iwe ni sekta binafsi au serikali yupo miaka mingi lakini bado Shirika au...
  5. Dabil

    Simba mnatuleteaje CEO ambaye ni shabiki wa Yanga?

    Simba ijitathmini tena kuhusu huyu CEO mpya,haiwezekani shabiki wa Yanga aje kuwa CEO wa Simba,hatutaki mamluki kama alivyokuwa Manara,mbinu za kivita zinazojadiliwa Simba yeye anapeleka upande wa pili. Huyu CEO aondolewe mapema kwa maslahi mapana ya timu. Soma Pia: Simba yamtangaza Zubeda...
  6. Teko Modise

    Je, CEO mpya wa Simba ni shabiki wa Yanga?

    Ukienda kwenye mtandao wa X zamani Twitter, tafuta jina la CEO kisha search neno Yanga utapata tweets zote alizopost kuhusu Yanga. Je, Simba imeajiri mtu mwenye vinasaba na Yanga pasipo kujua? Soma Pia: Simba yamtangaza Zubeda Sakuru kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa klabu
  7. Nyendo

    Simba wamtangaza Zubeda kuwa CEO wao Mpya

    Zubeba atangazwa kuwa CEO mpya Simba huku Akiagwa yule wa zamani
  8. JanguKamaJangu

    Simba yamtangaza Zubeda Sakuru kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa klabu

    Tunapenda kuutarifu umma kuwa Klabu ya Simba, imefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na Ndugu Francois Regis, ambaye alikuwa ni Mtendaji Mkuu kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu. Tunamshukuru Mr. Regis kwa kipindi alichohudumu katika Klabu yetu. Bodi imefanya uteuzi wa Bi. Zubeda...
  9. M

    Sababu za Simba kuachana na CEO wao ni zipi

    Klabu ya Simba imetangaza kuachana na CEO wake raia wa Rwanda bwana Regis Francos kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wao je sababu hizo zaweza kuwa ni zipi? mbona Simba inafanya vizuri katika ligi?
  10. Magical power

    Hivi ndivyo CEO wa Capital Oil alivyorudishwa nchini Nigeria

    Hivi ndivyo CEO wa Capital Oil alivyorudishwa Nchini Nigeria, Sio kwenye Private Jet yake anayoimiliki wala sio kwenye Business Class ya Commercial Airline bali maiti yake imerudishwa kama Cargo kwenye Ndege. Funzo Tukumbuke kuishi na watu vyema tukiwa hai,haijalishi upo levo Gani ya...
  11. Makonde plateu

    Najiuliza hivi kwanini CEO wengi wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna kundi kubwa la wafanyakazi wahindi?

    Naomba kueleweshwa wakuu hivi kwanini CEO wa kampuni kubwa duniani ni wahindi au kuna utitiri mkubwa wa wafanyakazi wengi kuwa WaAsia Hususani wahindi yaani wamekamata soko la kampuni nyingi duniani aisee na kampuni zao zinafanikiwa sana aisee Nenda Microsoft,Google,Apple na kadhalika wahindi...
  12. L

    Jemedari Said CEO mbabaishaji mkubwa asiejielewa

    JKT ilimpa kazi Jemedari ya kuwa mtendaji wake mkuu lakini pia jamaa ni mwajiriwa wa Crown FM, unajua being a CEO is a big task, mipango yote ya klabu iko kwako, Sasa huyu jamaa ukimsikiliza anapokuwa hewani anavyoshambulia watu personal badala ya issues unaweza sema ni msomi au pundit katika...
  13. D

    CEO Mpya wa Simba yupo wapi?

    I will be short Vipi CEO wa Rwanda yupo wapi? Simba announced there new ceo a Rwandan Where is the new CEO au kawakimbia? Source : Ricardo Momo
  14. Pascal Mayalla

    Watanzania wenye uwezo kuwa CEO's wa multilateral companies tunakwama wapi? Kama Helios Towers Watanzania wameweza huko, kwingine tunakwama wapi?

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la Jumapili ya leo. Huu ni muendelezo wa sisi Watanzania kujitathmini uwezo wetu wa uongozi kwenye corporate level, jee Watanzania tuna uwezo wa kuongoza makampuni makubwa profitability, kama ATCL, SGR, TAZARA etc na yaka oparate kwa...
  15. Pascal Mayalla

    Uwezo wa Watanzania Ma CEO Makampuni ya Kimataifa, Je Tunao?, Tuna Uwezo?. Big Up Helios Towers, Kuing’arisha Tanzania, Fursa kwa Watanzania!

    Wanabodi, Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa. Mara yangu ya kwanza kutinga New York, kutembelea Makao Makuu ya UN, nilitembezwa sehemu mbalimbali za UN, huku nikitambulishwa kwa staff wa UN ambao ni Watanzania, ukiondoa UN Radio, huko kuingine kote Watanzania ni wa...
  16. E

    Karin Rådström takes over as CEO of Daimler Truck

    Karin Rådström, currently responsible for Mercedes-Benz Trucks, will become the new CEO of Daimler Truck from 1 October. She takes over the position from Martin Daum and will head the world's largest truck manufacturer. Rådström has been on Daimler Truck’s Board of Management since 2021, after...
  17. Mkalukungone mwamba

    Vipigo viwili mfululizo vyamng'oa CEO Namungo

    Klabu ya Namungo Fc imethibitisha kuridhia ombi la kujiuzulu la aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa timu hiyo, Omary Kaya kufuatia mwenendo usioridhisha wa klabu hiyo iliyopokea vipigo viwili mfululizo kwenye mechi mbili za mwanzo wa msimu huu. Namungo FC imepoteza mechi hizo dhidi ya Tabora United na...
  18. J

    CEO wa Telegram ana watoto zaidi ya 100 ana miaka 39

    Durov CEO wa Mtandao wa Telegram Alikamatwa na kunaripotiwa kuhusiana na kutodhibitiwa kwa kutosha kwenye Telegram. Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema Jumatatu kwamba kukamatwa kwa “haukuwa uamuzi wa kisiasa kwa vyovyote.” Msemaji wa polisi alifafanua kuwa uchunguzi unahusu Telegram...
  19. Suley2019

    Simba wamtangaza CEO mpya, mrithi wa Imani Kajula

    Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba imemteua Raia wa Rwanda, Uwayezu Francois Regis kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Klabu hiyo kuanzia Agosti 1, 2024 baada ya Mkurugenzi aliyekuwepo, Imani Kajula kujiuzulu miezi michache iliyopita UwayezuFrancoisRegis amewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa...
  20. K

    Mbowe hapedwi na CCM kwasababu ni CEO mzuri

    Tuache unafiki Mbowe hapedwi na watu wa CCM kwasababu moja tu anajua kuongoza, street smart, haongeki, ana heshimika na anajua kuongoza. Kuna wanasiasa wengi sana ni wazuri wa kuongea tu lakini huwezi kuwapa hata mradi wa kuku.
Back
Top Bottom