GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,117
Mo Dewji naomba haraka sana kujua yafuatayo......
1. Zile Tsh Bilioni 20 za Uwekezaji umeweka Benki gani Tanzania?
2. Simba SC kama Klabu inapata Kiasi gani kutokana na Udhamini wa Brands zako?
3. Kila mwaka unatoa Shilingi ngapi kama Hela ya Usajili Simba SC?
4. Mpaka hivi sasa tokea uwe Mwekezaji Simba SC umepata Faida au Hasara? Na jibu likiwa ni Hasara je, kwanini bado Unangangania kuwepo na huondoki ili uwaachie Matajiri Wengine?
5. Safari ya kuipeleka Pre Season Simba SC nchini Marekani kama ulivyoahidi mwaka Jana iliishia wapi?
6. Kwanini unapenda kuifanya Simba SC kama Mali yako na Kampuni yako ya MeTL?
7. Kwa haya Matokeo mabovu na ya kutia Aibu ya Simba SC huku Yanga SC wakizidi Kufanikiwa wana Simba SC wenye Hasira Kali na tusiotaka Upumbavu Wanaoongoza na Mimi GENTAMYCINE tukiamua ama Kukupiga Bakora Mubashara utuachie Timu au Tukuroge vibaya Simba upaone ni sehemu HATARISHI Kwako au tukiamua Kuiteka Timu na iwe mikononi mwetu na tumkabidhi Mtu ninayemjua ndiyo Tajiri hasa na Namba moja hapa Tanzania Mzee Bakhressa aiendeshe tutakuwa tunakukosea?
Nasubiri majibu yako ila in short GENTAMYCINE niseme tu kuwa Sikukubali na nimegundua Wewe ndiyo kwa 99% unafaidika na Simba SC Kibiashara ila Simba SC inafaidika nawe kwa 1% tu.
Simba SC tunadhalilika kwa ajili yako na Ole wako Msimu huu utusajilie tena Wachezaji wako wa Ki Samjo Samjo ( Uwongo Uwongo ) na wa 10% kwa hao Wajumbe wako wa Body ambao Wote umewakeka Mfukoni mwako kwa Pesa unazowahonga ili Wakulinde.
1. Zile Tsh Bilioni 20 za Uwekezaji umeweka Benki gani Tanzania?
2. Simba SC kama Klabu inapata Kiasi gani kutokana na Udhamini wa Brands zako?
3. Kila mwaka unatoa Shilingi ngapi kama Hela ya Usajili Simba SC?
4. Mpaka hivi sasa tokea uwe Mwekezaji Simba SC umepata Faida au Hasara? Na jibu likiwa ni Hasara je, kwanini bado Unangangania kuwepo na huondoki ili uwaachie Matajiri Wengine?
5. Safari ya kuipeleka Pre Season Simba SC nchini Marekani kama ulivyoahidi mwaka Jana iliishia wapi?
6. Kwanini unapenda kuifanya Simba SC kama Mali yako na Kampuni yako ya MeTL?
7. Kwa haya Matokeo mabovu na ya kutia Aibu ya Simba SC huku Yanga SC wakizidi Kufanikiwa wana Simba SC wenye Hasira Kali na tusiotaka Upumbavu Wanaoongoza na Mimi GENTAMYCINE tukiamua ama Kukupiga Bakora Mubashara utuachie Timu au Tukuroge vibaya Simba upaone ni sehemu HATARISHI Kwako au tukiamua Kuiteka Timu na iwe mikononi mwetu na tumkabidhi Mtu ninayemjua ndiyo Tajiri hasa na Namba moja hapa Tanzania Mzee Bakhressa aiendeshe tutakuwa tunakukosea?
Nasubiri majibu yako ila in short GENTAMYCINE niseme tu kuwa Sikukubali na nimegundua Wewe ndiyo kwa 99% unafaidika na Simba SC Kibiashara ila Simba SC inafaidika nawe kwa 1% tu.
Simba SC tunadhalilika kwa ajili yako na Ole wako Msimu huu utusajilie tena Wachezaji wako wa Ki Samjo Samjo ( Uwongo Uwongo ) na wa 10% kwa hao Wajumbe wako wa Body ambao Wote umewakeka Mfukoni mwako kwa Pesa unazowahonga ili Wakulinde.