Nimeamini mabinti wa kichaga hawajui mapenzi

vigezo gani vimetumika kujua huyu anajua na huyu hajui?
 
Naomba ieleweke kwamba Sina lengo la kukashifu kabila la mtu ila ukweli lazima usemwe bila kijali watu wataupenda au la.

Binafsi huwa sipendi mambo ya kuambiwa na huwa siyaamini maana najua hata mahakama ya sheria haitambui maneno ya kuambiwa. Nimekua nikisikia na kusoma mada nyingi humu watu wakilalamika kwamba wasichana wa kichaga hawajui mapenzi na kwa kua nilikua suijawahi kutoka na binti hata mmoja wa kichaga nikaamua nijiridhishe mwenyewe dhidi ya hizo tuhuma je ni kweli au wanawasingizia?

Nikaamua kufanya utafiti usio rasmi ila nilifuata njia zote za kitaalam za kufanya utafiti hivyo nikaamua kutumia njia isiyo na mpangilio(random sampling).

Hivyo toka mwezi wa 11 nimebahatika kukutana na wasichana 9 wa kichaga wa madaraja tofauti,yaani wanafunzi wa vyuo,wafanya biashara,wahudumu wa baa(siku hizi wahudumu wengi wa baa ni wachaga) na mama mtilie.

Hakika nimethibitisha kweli kua wanawake wa kichaga mapenzi yaliwapita pembeni,yaani ni sifuri kabisa.

Niwatakie sherehe njema ya krismas na mwaka mpya.

9! Ingawaje umetuficha idadi halisi, lakini jitoe mtandaoni. Tafiti nyingine Ni tiketi huru za parapanda
 
Haaaahaaa chief asante sana maana nimewaona wadada(akina Manka) na kaka zao kwa wingi kwenye thread hii wakiteteana ili tu waonekane wanajua mapenzi ila ukweli utasimama bora ukomae na AYU kuliko wachaga ni tatizo kama magogo.
Naunga mkono hoja,na utafiti wako ni sahihi naomba unidai gharama za utafiti kama mdau.
 
Ww ulikuwa hujui mimi na wachaga kama paka na.panya hata habari nao sina akili zao zote ziko kwenye mijihela unamananii yaani unamnanihiii kwenyw sita kwa sita anakwambia kesho naenda saloon alafu lile gauni la x-mas hujaninunulia aaaakh i hate chaga lady
 
Wengine wakiwa wanaumiza vichwa vyao kuwa ilikuwaje hawakuyafikia malengo yao ya mwaka uliopita.....huku akifikiria namna ya kuukabili mwaka mpya huku akiomba uwe wa mafanikio.....kuna binaadamu wengine wamewekeza akili zao na bongo zao kwenye tafiti za kuwafikisha wakina dada vileleni....wakati kuna mtu anakesha kumuomba mungu amjalie mke mwema na mzuri wa tabia...kuna mpumbavu mmoja mmoja anatafiti makabila katika kupata mke mwema.......kweli nimeamini dunia ni msongamano wa watu wenye akili tofauti......
 
Wengine wakiwa wanaumiza vichwa vyao kuwa ilikuwaje hawakuyafikia malengo yao ya mwaka uliopita.....huku akifikiria namna ya kuukabili mwaka mpya huku akiomba uwe wa mafanikio.....kuna binaadamu wengine wamewekeza akili zao na bongo zao kwenye tafiti za kuwafikisha wakina dada vileleni....wakati kuna mtu anakesha kumuomba mungu amjalie mke mwema na mzuri wa tabia...kuna mpumbavu mmoja mmoja anatafiti makabila katika kupata mke mwema.......kweli nimeamini dunia ni msongamano wa watu wenye akili tofauti......
dunia ni lukumbo lukumbo
 
Ww ulikuwa hujui mimi na wachaga kama paka na.panya hata habari nao sina akili zao zote ziko kwenye mijihela unamananii yaani unamnanihiii kwenyw sita kwa sita anakwambia kesho naenda saloon alafu lile gauni la x-mas hujaninunulia aaaakh i hate chaga lady

we real real hate u too
 
Yani mapenzi hawajui, shape hawana, swaga hawajui alafu wana roho mbayaaa wabinafsi....kuuwa nje nje.
 
hivi ukifanyiwa vifuatavyo unataka nini tena
1.blowjob
2.upewe vi3
3.styl kama on top
4.....

UNATAKA NINI TENA
MAANA MNASEMA WACHAGA HAWAJUI MAPENZI LAKINI HAMSEMI KIPI HASA MNATAKA

Labda kubebwa mgongoni kama ntoto n dogo,kuogeshwa na maji ya iliki,kufukizwa marashi ya pemba na kukata mauno. uuusho!!!
 
Back
Top Bottom