Nimeamini mabinti wa kichaga hawajui mapenzi

Nimeamini mabinti wa kichaga hawajui mapenzi

Kwa ufahamu wangu ukioa mwanamke wa kichaga ni kama umenunua gari 4x4. Uwe na raha au shida atakuwa na wewe. Kile kiapo 'kwa shida na raha', wenzetu wanakielewa vyema. Sasa kama wewe unataka kukatikiwa kiuno nenda pwani kutoka Tanga, Uzaramoni mpaka Ntwara ila ukiishiwa na pesa mwenye pesa zake atakusaidia.
 
Acha kuchafua lugha yetu nzuri ya kiswahili. Sehem ya "L" unaweka 'r' mfano kudharirisha badala ya kudhalilisha. Una mapengo au.?
 
Me naona ulishajiandaa kisaikolojia kuwa hawajui na ndio maana umesema hvyo..
 
Nilikuwa na uhusiano na binti wa kichagga wa Sanya Juu na ni lazima niconfess kwamba toka niachane naye kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu kwa wakati huo sijapata kukutana na binti wa aina yake kwenye sita kwa sita.So stop the witchhunt . Na by the way mimi sio mchagga.Ni chiasaka.
 
Mtu anayejua mapenzi na ambaye hajui unatumia kigezo gan kuwatofautisha?

Na ni nn kimekuaminisha kuwa ww unayajua mapenzi?
Unajuaje kama ww mwenyew ndio tatizo? Kama huna mvuto kwenye mapenzi, hujui kuhamasisha mwenzio atarespond vp?

Acha maneno ya vijiwen bhana
.. miss chaga uje huku anakutafuta huyu

hahaha...inawezekana hana mvuto wa mapenz kweli mana mwanaume anayekuvutia utampa vyote hadi vya chini ya uvungu
 
Last edited by a moderator:
watu mnalalamika wachaga hawajui mapenzi wakati kila siku ndoa zinafungwa wanaolewa we lalamika hawajui wenzako wanapanga foleni kanisani
 
Naomba ieleweke kwamba Sina lengo la kukashifu kabila la mtu ila ukweli lazima usemwe bila kijali watu wataupenda au la.

Binafsi huwa sipendi mambo ya kuambiwa na huwa siyaamini maana najua hata mahakama ya sheria haitambui maneno ya kuambiwa. Nimekua nikisikia na kusoma mada nyingi humu watu wakilalamika kwamba wasichana wa kichaga hawajui mapenzi na kwa kua nilikua suijawahi kutoka na binti hata mmoja wa kichaga nikaamua nijiridhishe mwenyewe dhidi ya hizo tuhuma je ni kweli au wanawasingizia?

Nikaamua kufanya utafiti usio rasmi ila nilifuata njia zote za kitaalam za kufanya utafiti hivyo nikaamua kutumia njia isiyo na mpangilio(random sampling).

Hivyo toka mwezi wa 11 nimebahatika kukutana na wasichana 9 wa kichaga wa madaraja tofauti,yaani wanafunzi wa vyuo,wafanya biashara,wahudumu wa baa(siku hizi wahudumu wengi wa baa ni wachaga) na mama mtilie.

Hakika nimethibitisha kweli kua wanawake wa kichaga mapenzi yaliwapita pembeni,yaani ni sifuri kabisa.

Niwatakie sherehe njema ya krismas na mwaka mpya.

Nenda kaone watalaamu wakusaidie maana shida si wachaga bali ni wewe
 
Nilikuwa na uhusiano na binti wa kichagga wa Sanya Juu na ni lazima niconfess kwamba toka niachane naye kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu kwa wakati huo sijapata kukutana na binti wa aina yake kwenye sita kwa sita.So stop the witchhunt . Na by the way mimi sio mchagga.Ni chiasaka.

Hahha.wa sanya juu eeeh.safi sana
 
Watu wengine ni wakuonewa huruma tu sasa hao tisa wote kisa utafiti?
 
Back
Top Bottom