Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,526
- 70,375
Ndugu nawawekea hapa vitabu hivi mkavisome ili muweze kupata kuujua ukweli ambao utaondoa mashaka yote mliyo nayo kuhusu asili ya binadamu wote.
Sio hadithi za kutungwa bali ni vitambu vilivyoandikwa na wana science waliobobea katika nyanja ya vinasaba (DNA).
Hapa nimefanikiwa kuambatanisha viwili tu
1. The Seven Daughters of Eve cha Bryan Sykes
2. Guns, Germs and Steel cha Jarod Diamond
Pia waweza kusoma hivi vingine
1. African Exodus: The Origins of Modern Humanity cha Chris Stringer
2. The Journey of Man cha Spencer Wells.
Ukisoma hivi vitabu hakika hautasumbuka kuwa unajiuliza maswali mengi sana kwakuwa vimeandikwa kwa ustadi na facts za hali ya juu.
Kazi kwako.
Sio hadithi za kutungwa bali ni vitambu vilivyoandikwa na wana science waliobobea katika nyanja ya vinasaba (DNA).
Hapa nimefanikiwa kuambatanisha viwili tu
1. The Seven Daughters of Eve cha Bryan Sykes
2. Guns, Germs and Steel cha Jarod Diamond
Pia waweza kusoma hivi vingine
1. African Exodus: The Origins of Modern Humanity cha Chris Stringer
2. The Journey of Man cha Spencer Wells.
Ukisoma hivi vitabu hakika hautasumbuka kuwa unajiuliza maswali mengi sana kwakuwa vimeandikwa kwa ustadi na facts za hali ya juu.
Kazi kwako.