Nimeambiwa na mpangaji mwenzangu kuwa tunatakiwa kuchangia kila mmoja Tsh. 30,000/-

Ni hivi
Tanesco wana wateja wa aina mbili
1. Wateja wadogo
2. Wateja wakubwa.

Sikumbuki wateja wadogo likit yao ni kiasi gani ila ni kidogo sana

Wewe hapo sio kwamba unaibiwa ila kwa sababu mnatumia meter moja tanesco wanahesabu mteja mmoja na kwa kuwa mnatumia unit nyingi basi mnakuwa kwenye category ya wateja wakubwa.

Utofauti wa wateja wadogo na wakubwa ni price/unit.

Kuna nyumba nilipanga hapa bukoba, wapangaji tulikua watatu, nilikua nalipa sometimes hadi 40,000.

Baada ya kuhama, nikahamia nyumba ambayo ni stand alone, nikawa natumia 30,000 kwa miezi 3.

Ushauri, unapo tafuta nyumba ya kupanga hakikikisha hakuna swala la kushare meter, afadhali hiyo pesa upngeze kwenye pango la nyumba upate nyumba nzuri zaidi.
Asante kwa ushauri!
 
Hawaja piga dili ila wapo kwenye category ya wateja wakubwa.
Nimewasiliana na mke halali wa mwenye nyumba anadai yeye kwenye hiyo nyumba alikuwa analipa 10,000/-anapewa 28 units!!Sasa hiyo ni category ipi?
 
umeme wa kushare ni pasua kichwa
nakumbuka nilipokua shule hostel mtu m1 unatoa 10000 baada ya wk umeme umekata
wahuni wakaona isiwe tabu wakapanda juu ya dari wakachomeka waya a.k.a nyoka miaka 2 na nusu iliyobaki tukawa tunajiachia tu
kiongozi ushauri kama vp na nyie chomekeni nyoka tuuu;);););)
 
Yeye akiwa pekee yake lakini kama mpo wawili au watatu matumizi ya umeme ni makubwa hivyo tanesco automatically wanawaweka category na matumizi.makubwa.
Nimewasiliana na mke halali wa mwenye nyumba anadai yeye kwenye hiyo nyumba alikuwa analipa 10,000/-anapewa 28 units!!Sasa hiyo ni category ipi?
 
Kama anakusanya pesa sio sahihi, inatakiwa moeane zamu tuu mtu anaweka umeme wa 30k ,na mwingine anaweka wa 30k kisha mnaangalia matumizi.
Wakupe wewe pesa kanunue Umeme uwape waingize wakidai huwaamini waambie ndio wakikataa basi usitoe pesa yeyote inaweza isiwe ni pesa kubwa sana kwako lakini kufanywa mjinga inatia hasira bora ujue kuwa umemuhonga ata kama ni 200k lakini sio kutapeliwa 20k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeambiwa na mpangaji mwenzangu kuwa tunatakiwa kuchangia kila mmoja sh.30000/- kila mmoja yaani umeme wa sh.60,000/- ndiyo unatosha kumaliza mwezi eti kwa kuwa kila mmoja ana TV screen na kwamba kwa Siku TV moja inatumia units mbili,naomba anayeujua ukweli aijuze tafadhali!!!
Mina
Tv, Subwoofer, Friji, Pasi na Blender na bado nipo below 20k.

Hapa anakuandalia mazingira ya kukupiga.

Kanunueni sub meter bei ni 25k kwa wastani, ita fundi umeme mpoze hata 20k awafungie kila mtu yake hapo ndio uchawi utaisha.

Yan wewe weka msimamo wako kwenye hicho kimita. Kila mtu awe na chake bila hivyo utamuweke mwenzako umeme mpaka utajuta
Screenshot_2020-05-24-22-15-04-00.jpg


I'll be back
 
umeme wa kushare ni pasua kichwa
nakumbuka nilipokua shule hostel mtu m1 unatoa 10000 baada ya wk umeme umekata
wahuni wakaona isiwe tabu wakapanda juu ya dari wakachomeka waya a.k.a nyoka miaka 2 na nusu iliyobaki tukawa tunajiachia tu
kiongozi ushauri kama vp na nyie chomekeni nyoka tuuu;);););)
Hiyo nyoka ni mini ndugu?
 
Manyumba ya kupanga ni shida. Nawashauri wenye hela wajenge tu.

Ni bora uishi kwenye banda la nguruwe kuliko nyumba ya kupanga.
 
Mina
Tv, Subwoofer, Friji, Pasi na Blender na bado nipo below 20k.

Hapa anakuandalia mazingira ya kukupiga.

Kanunueni sub meter bei ni 25k kwa wastani, ita fundi umeme mpoze hata 20k awafungie kila mtu yake hapo ndio uchawi utaisha.

Yan wewe weka msimamo wako kwenye hicho kimita. Kila mtu awe na chake bila hivyo utamuweke mwenzako umeme mpaka utajutaView attachment 1458777

I'll be back
Asante ndugu kwa ushauri!
 
Ntumba za kupanga unawezakufa kwa pressure.. hasa hizi za kawaida.

Unakuta jamaa anawasha feni 24/7 , imagine ana familia ya watu kama 8, pasi hapo itakula umeme hadi basi wakati wewe ni bachelor tuu, taa zinawaka kwa saa 1 tuu kwa siku.haaa
Manyumba ya kupanga ni shida. Nawashauri wenye hela wajenge tu.

Ni bora uishi kwenye banda la nguruwe kuliko nyumba ya kupanga.
 
Hakuna kitu kilichokuwa kinaniudhi enzi napanga kama kuchangia umeme!! Nilishindwa kwa kweli ilibidi nitafute servant quarter ya vyumba viwili,store,public toilet kwa elfu 35(Umeme wa kujitegemea kulikuw hakuna LUKU) nikaachana na chumba cha elfu 6 kwa mwezi.
 
Kuna nyumba zingine za kijinga mtu usiwe na friji wala Tv sasa siku ukinunua Ac si ndio utapewa notice kabisa


Sent using IPhone X
 
  • Thanks
Reactions: amu
Iko hivi tanesco wanapokuinganishia umeme huwa unakua katka category 2
1.Single phase ambapo utaiziwa unit 1 kwa sh 121.95 hapo ukiwa na matumizi ya kawaida au kwa lugha nyngne wanaita umeme wa nyumbani
2 three phase hapa utauziwa unit moja kwa sh 357.14 au kwa lugha nyngne wanaita umeme wa viwandani ( hapa kama unatumia vtu Kama mashine ya kusaga unga,kukoboa, etc na mitambo yote mikubwa inayotumia umeme mwingi

Inapotokea kwa nyumba yenye wapangaji wengi wenye apliances kama fridge, oven pasi, jagi etc vinavotumia umeme mwingi tanesco wanahamisha matumizi yenu kutoka matumizi Madogo hadi matumizi makubwa ndo matokeo yake ukinunua umeme wa elf 10 unapewa units 28
suluhisho; kama amekuambia kwa siku natumia units 2 inatakiwa ujue kwa siku unatumia shilingi 714.29 ukizidisha kwa siku 30 itakua imefka 21428.70 ko hiyo elf 30 bado haijafika
chamsingi nunua kisoma mita ( sub-meter) kinauzwa kama elf 25 hv ufunge itakusomea units unazotumia uzidishe kwa hiyo hela per unit uone inatakiwa kulipa kiasi gani mzuri wa sub- meter unaweza kuhama nayo so haina hasara
 
Back
Top Bottom