Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

mkuu mimi swali langu ni huko masokoni hivi wale wanaofanya biashara wakiwa uchi lakini kwa macho yetu ya kawaida tunaona wamevaa nguo kuna siri gani wao kuuza wakiwa uchi na je,madhara yoyote kwa wateja wanaonunua na kula hivyo wanavyo viuza maana vyaweza kuwa vichafu pia na ipi njia ya kuwaepuka? na vitu wanavyouza ni halisi au kiini macho?
Kuwaepuka ni kusoma dua tu, niliona kuna dua zimeletwa humu.

Wale wanaokaa uchi zile biashara zimelenga zaidi mashetani na majini wa kishetani. Zisikutie wasiwasi.

Unafahamu majini wapo wengi kuliko binadam?

Kama binadam wema walivo wachache ni hivyo hivyo majini.
 
Arsis ni kweli upo mji uliozama chini ya bahari ukifahamika kama Raphta.... mji huo upo wapi kwa sasa
Upo baina ya Dar na Kilwa. Ni jiji kubwa sio mji tu. Ni katika miji ya enzi za Mafirauni.

Lamu upo mwingine kwenye himaya hio. bahari kuu ya Mtwara ina mji pia lakini huu maji yake ni kina kirefu sana.
 
Ujumbe mwingine wa Arsis nimeupata sasa hivi wakati naanza kuandika. Usijibu mtu "private, this is an educative thread, simba, you are not mganga or mchawi" akaongea Kiswahili, kua yeye Arsis atajibu linaloulizwa hapa, private ni baina yangu na anaeuliza, yeye hahusiki.

Kwa hio mnaokuja private msitegemee kujibiwa na Arsis maswali yenu ya Private, anasema anaeta yeye ili ajibu muulize hapa wazi, watu wengi wapate faida, kwa sababu tatizo la mtu mmoja wanalo watu millioni moja wengine. Anassema wabadilishe jina kama hawataki kujulikana halafu waulizze. Anataka kutoa elimu yake kwa watu wengi.

Du, leo tumemkorofisha nini Arsis?
Mwambie Arsis hatutendei haki nnatamani kuuliza maswali mengine ya binafsi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom