Niliyoyashuhudia leo Muhimbili

Niliyoyashuhudia leo Muhimbili

Baada ya mafunzo walikula kiapo kuwatibu wagonjwa wote bila kuwanyanyapaa
Madaktari wamesikiliza maneno ya mitandaoni kuwa Hali ni mbaya kwanini wasiogope?.
maana huku mitandaoni kila mgonjwa anaepelekwa hospital wanasema ana corona kila mtu akifa wana sema ana corona kwanini wasiogope.
TUBADILIKE SISI KWANZA.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh pole sana….kuna umuhimu wa uelewa juu ya huduma ya kwanza... Presha ya kushuka kuna huduma ya kwanza mngempa maana hata kwenda hospital kipindi hiki ni kujiexpose kwenye magonjwa...…...

Poleni sana hope mlipata huduma nzuri huko mliko mpeleka.
Nashukuru alihudumiwa vizuri hospitali ya private

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Write your reply...MTU ANAEZANI KILA KIFO KINACHOTOKEA CHA WATU MAARUFU SABABU NI CORONA HUWA NAMCHUKULIA KAMA KILAZA


IFIKIE MAHALI MITANDAO ITUMIKE VZURI NDO HOFU ZINAZALISHWA KAMA HIVYO
 
Nadhan unatania tu. Kama upo serious Ndo mawazo yako tunasafari ndefu.
(Uongozi sio majengo, wala mavazi).
Hekima, Busara, Uadilifu, (untouchable things)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu madaktari hawajawa trained kuogopa wagonjwa..never!..na hakuna daktari anayefanya kazi yake kwa kusoma hisia za mitandao!.ni either hawana vifaa vya kujikinga au hakuna nafasi ya kuwahudimia wagonjwa.
Waiadhibu serikali, sio wagonjwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom