Niliyoyashuhudia leo Muhimbili

Niliyoyashuhudia leo Muhimbili

Pole sana mkuu......Kuna watu utaskia "Weka picha tuamini"
 
Kuna mmoja amekataliwa Temeke, Muhimbili na Zakhem Mbagala... kapelekwa TMJ ndo anatibiwa huko... wanaokataa sijui wanawaza nini.
hawajawezeshwa vifaa vya kujikinga kwa ajili ya kumpokea mgonjwa mwenye korona ndiyo maana wanaogopa kila mgonjwa aneyeonekana ana hali mbaya
 
Back
Top Bottom