Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,155
- 14,114
Kazi ya wazua taharuki mtandaoni hiyo...pole sana kiongozi,hope atapona
Halafu utawapigia kura watu hawahawa
Hivi mkuu kweli katika hali ya kawaida tu, hawa wanafaa kuachiwa ile ikulu ya chamwino kweli na uwakabidih hazina kweliHalafu utawapigia kura watu hawahawa
Watu ni lazima wakuogope cz vifo nao vimekuwa kibao mno rate imeongezeka kidogo waliougua muda mrefu wanakufa ghafla tu imagine that...Pole mkuu sa hizi hata ukifa ghalfa ni corona unaogopwa, hatari sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wengine mbona wanajulikana tu kweupee....!!! Jinsi wanavyogeuza vyama vya siasa kuwa mali yao binafsi; Wanavyojisultanisha uongozi wa milele wa chama, na wanavyofisidi ruzuka za chama, huku wakiwapatiliza ama kuwafunga midomo wanaohoji matumizi yasiyofaa!Assumptions hizo, hawa tunawafahamu na kuwajua, wale wengine hatuwajui; kwanini tusiwajaribu tuone? Cause hata hiyo mikakati yao ambayo inasifiwa, ni mawazo ya hawa hawa tusiowajua, yaani wana copy tu na kupestia kwao.
Unaweza kuhudumiwa kama private ila gharama ni za juu tofauti na wanaenda kwa rufaa
Halafu utawapigia kura watu hawahawa
Una uhakika kuwa wote wanaotibiwa pale muhimbili wamekuwa referred kwenda pale na wana barua mkononi?Kwenda mhimbili mpaka uwe na refferal kutoka hospital ya mkoa au ya rufaa,yawezekana Dr Ali asses tatizo that why akagoma,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mubimbili ni hosipitali ya rufaa ya taifa labda walikuambia umpeleke huko kwingine kwakua ndiyo utaratibu baada ya kuona hali ya mgonjwa.Salamu wote. Corona imetuletea tafrani kubwa. Leo nimempeleka Muhimbili mgonjwa mwenye presha ya kushuka.
Alikuwa mahututi, hawezi hata kuongea. Kufika mapokezi dr mmoja (jina lake sikufanikiwa kulijua) aligoma kumpokea akidai kwamba twende hospitali ya Temeke au Mwananyamala.
Nikamuuliza dr kwa hali ya mgonjwa ilivyo huoni kama akichelewa kupata tiba yanaweza kutokea mengine. Jibu alilonipa nilichoka. Alijibu kwamba mgonjwa bado hajazidiwa na hawezi kumtibu hivyo tuondoke. Sikuwa na jambo lingine la kufanya zaidi kumpeleka mgonjwa hospitali ya private. Siku hizi ukimpeleka mgonjwa hospitali nyingi (za serikali) akiwa mahututi, ma-dr na ma-nesi wanaogopa kumuhudumia, wanahukumu kwamba kila mtu ameambukizwa Corona.
Wizara ya afya imeshindwa kutoa huduma bora kwa wakati. Wagonjwa wengi wanakufa kwa kukosa matibabu. Hayo nimeshuhudia kwa macho yangu leo tarehe 30 Machi, 2020 hospitali ya MUHIMBILI saa 7 mchana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini umeleta taarifa hiyo kishabiki tu na siyo kiuhalisia. Taarifa za uchochezi hazikusaidai kamwe kufikia lengo lako.Salamu wote. Corona imetuletea tafrani kubwa. Leo nimempeleka Muhimbili mgonjwa mwenye presha ya kushuka.
Alikuwa mahututi, hawezi hata kuongea. Kufika mapokezi dr mmoja (jina lake sikufanikiwa kulijua) aligoma kumpokea akidai kwamba twende hospitali ya Temeke au Mwananyamala.
Nikamuuliza dr kwa hali ya mgonjwa ilivyo huoni kama akichelewa kupata tiba yanaweza kutokea mengine. Jibu alilonipa nilichoka. Alijibu kwamba mgonjwa bado hajazidiwa na hawezi kumtibu hivyo tuondoke. Sikuwa na jambo lingine la kufanya zaidi kumpeleka mgonjwa hospitali ya private. Siku hizi ukimpeleka mgonjwa hospitali nyingi (za serikali) akiwa mahututi, ma-dr na ma-nesi wanaogopa kumuhudumia, wanahukumu kwamba kila mtu ameambukizwa Corona.
Wizara ya afya imeshindwa kutoa huduma bora kwa wakati. Wagonjwa wengi wanakufa kwa kukosa matibabu. Hayo nimeshuhudia kwa macho yangu leo tarehe 30 Machi, 2020 hospitali ya MUHIMBILI saa 7 mchana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tusaidie hii hudumaDuh pole sana….kuna umuhimu wa uelewa juu ya huduma ya kwanza... Presha ya kushuka kuna huduma ya kwanza mngempa maana hata kwenda hospital kipindi hiki ni kujiexpose kwenye magonjwa...…...
Poleni sana hope mlipata huduma nzuri huko mliko mpeleka.
Yaa!! Lakini private wako kibiashara zaidi. They will never ever leave your pennyTusilaumu madoctor. Kumbuka hawana vitendea kazi vya kujidhibiti na maambukizi ya Covid 19. So hawawezi deal na wagonjwa wasiojua status yao ya mambukizi.
Mi naona bora private
Sent using Jamii Forums mobile app