TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,593
Wameamua kufuata taratibu za kazi zinavyowaelekeza,mtu hautakiwi kukurupuka kumpeleka Mgonjwa Muhimbili lazima kwanza upitie hospital za huku chini kama M/Nyamala au Temeke and then ishu ikiwashindwa unaandikiwa rufani ya kwenda Muhimbili.
Madokta hawaogopi Korona wamepewa PPE za kutosha na wanambinu za kujikinga plus wito waliopewa na Mungu.
Tarehe 29 juzi wife nilimpeleka hospital ya Jeshi akajifungua fresh tu hakuna longo longo wala nn ila walini mind nilienda bila mask coz niliisahau kwenye gari si unajua majanga yakikukuta unaweza kuacha mtoto ukakimbilia kumbeba paka ukidhani mtoto.
Watu waliniona boya wakaona kama nimebetia maisha ya wife kwa nn nisingeliunga moja kwa moja Muhimbili,ila wakati wife yupo wodini nesi alikuja akanisifu akanambia npo vizuri maana ningekurupuka M/mbili ingeweza kura kwangu.
Madokta hawaogopi Korona wamepewa PPE za kutosha na wanambinu za kujikinga plus wito waliopewa na Mungu.
Tarehe 29 juzi wife nilimpeleka hospital ya Jeshi akajifungua fresh tu hakuna longo longo wala nn ila walini mind nilienda bila mask coz niliisahau kwenye gari si unajua majanga yakikukuta unaweza kuacha mtoto ukakimbilia kumbeba paka ukidhani mtoto.
Watu waliniona boya wakaona kama nimebetia maisha ya wife kwa nn nisingeliunga moja kwa moja Muhimbili,ila wakati wife yupo wodini nesi alikuja akanisifu akanambia npo vizuri maana ningekurupuka M/mbili ingeweza kura kwangu.