NG'OTIMBEBEDZU
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 1,180
- 598
Mbaya sana.
Mbaya sana.
Usiyaogope maji kabla hujaingia. Yaingie kwanza huenda kina chake kifupiHata hao wengine wakiingia mambo yatakuwa haya haya unayoyashuhudia sasa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Daktari anayejua wajibu wake angemsadia kwa sababu mgonjwa kafika pale tayari, ukiweka na changamoto za usafiri hapo Dar kwa kweli huyo Dr ni mpuuzi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wazo zuriPole sana mkuu, sasa hivi kuna magonjwa mawili haya bado madaktari wetu yanawavuruga vichwa vyao sana,
Moja ni Changamoto ya upumuaji. Hii hupelekea mtu kushindwa kupumua hadi anakata roho.
Pili ni Changamoto ya kusimama. Hii hupelekea mtu kudondoka barabarani hadi anakata roho.
Sasa mnapopeleka wagonjwa hospitali waambieni wajikaze wasionyeshe dalili hizo mbili hapo juu kwenye hatua za awali wafikapo hospitali ili apatiwe matibabu.
Asante. Mgonjwa alipata matibabu na anaendelea vemaPole sana ndugu Mungu amsaidie mgonjwa apate afya njema
Umefafanua vizuri.
Ila kuna watu vichwa ngumu.
Mleta mada amesema mgonjwa wake alikuwa anaumwa presha ya kushuka.
Katika Hali ya kawaida wangempa hata huduma ya kwanza.
Lakini walimkataa kabisa .
Swali tujiulize kwanini walimuogopa kumpa hata huduma ya kwanza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kada ya afya imevamiwa na mamlukiUmefafanua vizuri.
Ila kuna watu vichwa ngumu.
Mleta mada amesema mgonjwa wake alikuwa anaumwa presha ya kushuka.
Katika Hali ya kawaida wangempa hata huduma ya kwanza.
Lakini walimkataa kabisa .
Swali tujiulize kwanini walimuogopa kumpa hata huduma ya kwanza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu utawapigia kura watu hawahawa
TMJ anatibiwa private au kwa bima?Kuna mmoja amekataliwa Temeke, Muhimbili na Zakhem Mbagala... kapelekwa TMJ ndo anatibiwa huko... wanaokataa sijui wanawaza nini.
Hata hao wengine wakiingia mambo yatakuwa haya haya unayoyashuhudia sasa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo la kumshukuru Mungu,wengi wenye hata magonjwa ya kawaida wanakufa kwa kukosa huduma ya kwanza hofu ya koronaPole sana Mkuu. Ila sahivi anaendelea vizuri?
Ndicho kipimo cha kupima watz Kama Wana akili timamu 2020tumia kura yako vizuri 2020
Kwa kuwa ulitupa taarifa za usumbufu, tupe "update" hospitali mlikoambiwa kwenda amepokelewa. Na kama amepokelewa, je, faili lake au taarifa za tiba yake ziko huko.
Ndio maaana tunasema serikali imeshindwa kutimiza wajibu wake, watu hawaelewi pamoja na kupata taabu Yote hiyo mwezi wa kumi utampigia jiwe kura, Halafu mwakani utakuja huku kulalamaSalamu wote. Corona imetuletea tafrani kubwa. Leo nimempeleka Muhimbili mgonjwa mwenye presha ya kushuka.
Alikuwa mahututi, hawezi hata kuongea. Kufika mapokezi dr mmoja (jina lake sikufanikiwa kulijua) aligoma kumpokea akidai kwamba twende hospitali ya Temeke au Mwananyamala.
Nikamuuliza dr kwa hali ya mgonjwa ilivyo huoni kama akichelewa kupata tiba yanaweza kutokea mengine. Jibu alilonipa nilichoka. Alijibu kwamba mgonjwa bado hajazidiwa na hawezi kumtibu hivyo tuondoke.
Sikuwa na jambo lingine la kufanya zaidi kumpeleka mgonjwa hospitali ya private. Siku hizi ukimpeleka mgonjwa hospitali nyingi (za serikali) akiwa mahututi, ma-dr na ma-nesi wanaogopa kumuhudumia, wanahukumu kwamba kila mtu ameambukizwa Corona.
Wizara ya afya imeshindwa kutoa huduma bora kwa wakati. Wagonjwa wengi wanakufa kwa kukosa matibabu.
Hayo nimeshuhudia kwa macho yangu leo tarehe 30 Machi, 2020 hospitali ya MUHIMBILI saa 7 mchana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heli ubarishe kuangalia kuliko kukomaaa hapo hapo, Lakini pia una Uhakika gani kuwa wakija wengne itakuwa haya haya?Hata hao wengine wakiingia mambo yatakuwa haya haya unayoyashuhudia sasa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, naona mkono umeteleza tena